Ukitaka kila siku usiumwe fanya hivi katika miasha yako ya kila siku

Kwahiyo Wewe waona dada yng mwallu aliacha bahati?

Dada yng mtu Wa Mungu hayo mambo hayamfai! Ila kule #Ng 'ambo na TUKUTUKU karibu na kwa Bibi #Ufunguo mambo ya Kuruka na UNGO mengi sn!
Teh teh teh!binti ufungua aliuawa kwa sababu ya mambo ya kishirikina!
Sasa hivi ng'ambo imetulia kwa sababu wachawi karibu wote walishakufa,kina mwana mbogo,wamalando,binti salum,na maalim kulwa!
 
Nashukuru sana mkuu ...kitunguu swaumu kichungu ila haina kelele nimeshaanza kukizoea sasa nina miez sita napiga asubuh na jion ..maji moto nayo nshayazoea katikat ya joto la dsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…