Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Teh teh teh!binti ufungua aliuawa kwa sababu ya mambo ya kishirikina!
Sasa hivi ng'ambo imetulia kwa sababu wachawi karibu wote walishakufa,kina mwana mbogo,wamalando,binti salum,na maalim kulwa!
Ha ha ha haaaaaaa!
Vp Biti Mpera nae alikua kiwembe?
Mwanangu TUKUTUKU mboka ilikua kiboko!
Last edited by a moderator: