Ukitaka kila siku usiumwe fanya hivi katika miasha yako ya kila siku

Asante Mkuu Faida nyengine hii hapa ya huu Mti wa Mrehani soma hapa chini Mkuu.

 
Ahsante, nitakuwa nachanganya kwenye kachumbari, na siku moja moja nitajitahidi kutafuna
Nimeona tena kwamba ni dawa ya utitiri, aiseee!


Kwani kutafuna unashindwa kwanini? wakati majani ni dawa? unaweza kuchemsha ila kama utakula kama kachumbari japo jani moja kwa siku sio mbaya.Angalia picha majni yamekaushwa yamekuwa makavu kwa ajili ya dawa.


 
 
 
Asante MziziMkavu somo limeeleweka japo hayo majani kwa hapa dar ni vigumu kuyapta.
ni muhimu tujali afya zetu ntatumia
 
Last edited by a moderator:

ushauri mzuri sana huuu nimechelewaje kuuona hayo majani mrehani yanapatikana wapi

vyote naweza kufanya lakini kinywa juisi ya limao mhhhhhhhh si ndo ntazidi kuwa kimbaumbau
mimi natamani kukunenepa kidogo nishaurini nifanyeje angalau niwe mnene nauchukia mwili wangu wa kimisi huu najitahidi kufakaamia lakini wapiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…