Ukitaka kuelewa ukweli wa Rais Samia njoo Marangu Mtoni mkoani Kilimanjaro, kati ya bodaboda 5, wanne au watu ni mashoga

Ukitaka kuelewa ukweli wa Rais Samia njoo Marangu Mtoni mkoani Kilimanjaro, kati ya bodaboda 5, wanne au watu ni mashoga

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Rais akiwa anazungumza na Viongozi wa Wanafunzikutoka Zanzibar na Bara j,ana aliwataka waache kuiga uzungu. Rais anawataka wanafunzi kuzingatia mila na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakwenda kombo.

Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli hali ni mbaya hasa mikoani, wimbi la kulawitiwa limekuja juu sana. Ukifika Kilimanjaro hasa wilaya ya Moshi vijijini huwezi amini, ila ukweli ni kuwa watoto wadogo wanalawitiwa kama karanga za kukaanga. Nje ya watoto unaambiwa pahala kama Marangu mtoni sasa imekuwa fasheni, bodaboda asiyepandwa haoni kama kakamilika.

Huwezi amini, unaambiwa kati ya bodaboda watano, wanne wanapelekewa moto. Watoto wa Kichaga na weupe wao sasa wanapigwa ni hatari. Sababu kubwa ni kutaka maisha mazuri.

Wengi wanalelewa ovyo sana na mama zao kwa kuwapa kila kitu. Inapotokea mama zao wamefariki basi vijana wanaingia kwenye wingu nene ikiwemo kutafuna mirungi, mwishowe wanakosa hata chapaa ya kununua mirungi wanaona bora wapandwe.

Jamii inakwenda wapi? Tutafakari pamoja.

Jumapili njema.
 
wacha wafaidi kwa hasara yao wanaiga viongozi wao wa imani
download.jpg
 
Mh Rais akiwa anazungumza nna viongozi wa WANAFUNZI kutoka zenji na Bara Jana aliwataka waache kuiga uzungu.
Rais anawataka WANAFUNZI kuzingatia Mira na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakkwenda kombo.
Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli Hali ni mbaya hasa mikoano wimbi la kulawitiwa limekuja juu sanaaa ukifika Kilimanjaro hasa wilaya ya Moshi vijijini huwezi amini ila ukweli ni kuwa watoto wadogo wanalawitiwa kama karanga za kukaanga,nje ya watoto unaambiwa pahala kama Marangu mtoni Sasa imekuwa fasheni bodaboda hasie pandwa haoni kama kakamilika.

Huwezi amini unaambiwa kati ya boda boda watano wanne wanapelekewa moto,watoto wa kichaga na weupe wao Sasa wanapigwa "pumbu" ni hatari.

Sababu kubwa ni kutaka maisha mazuri,wengi wanalelewa ovyo sana na mama zao Kwa kuwapa Kila kitu inapotokea mama zao wamefariki basi vijana wanaingia kwenye wingu Nene ikiwemo kutafuna MIRUNGI,mwishowe wanakosa hata chapaa ya kununua mirungi wanaona Bora wapandwe.
Jamii inakwenda wapi?tutafakari pamoja jumapili njema.
Hivi msenge ni nani? Maana nishawahi kula ban kisa hili neno
 
Alafu huko mosho vijijini waache washupaze shingo na kukataa hapa ila wanajua mimi nakumbuka vyema field yangu huko mwika yani jamaa tena anajidai mtumishi kumbe shoga likaniomba no yangu alafu usiku likanitumia sms naomba unifi*r* daaah nilichoka kuja kufanya uchunguzi nikaja kugundua moshi imeharibika vibaya mno mno tena lakini narudia tena na tena lile kanisa pendwa kule ndio chanzo kikubwa ,wale viongozi makaka na mababa wanaharibu sana watoto wale wanaoenda kanisa hilo yani daaah inauma kule baada ya muda sijui itakuaje ,rombo mpaka walisingizia pombe inawamaliza nguvu ,, aaah wapi ni p#mbu liliwazidia
 
Mh Rais akiwa anazungumza nna viongozi wa WANAFUNZI kutoka zenji na Bara Jana aliwataka waache kuiga uzungu.
Rais anawataka WANAFUNZI kuzingatia Mira na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakkwenda kombo.
Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli Hali ni mbaya hasa mikoano wimbi la kulawitiwa limekuja juu sanaaa ukifika Kilimanjaro hasa wilaya ya Moshi vijijini huwezi amini ila ukweli ni kuwa watoto wadogo wanalawitiwa kama karanga za kukaanga,nje ya watoto unaambiwa pahala kama Marangu mtoni Sasa imekuwa fasheni bodaboda hasie pandwa haoni kama kakamilika.

Huwezi amini unaambiwa kati ya boda boda watano wanne wanapelekewa moto,watoto wa kichaga na weupe wao Sasa wanapigwa "pumbu" ni hatari.

Sababu kubwa ni kutaka maisha mazuri,wengi wanalelewa ovyo sana na mama zao Kwa kuwapa Kila kitu inapotokea mama zao wamefariki basi vijana wanaingia kwenye wingu Nene ikiwemo kutafuna MIRUNGI,mwishowe wanakosa hata chapaa ya kununua mirungi wanaona Bora wapandwe.
Jamii inakwenda wapi?tutafakari pamoja jumapili njema.

So, ukipanda boda ukaona dereva kabong'oa, ujue ni chakula!! Shika kalio....!! 😁😁😁
 
Malezi ya kijinga nayo yamechangia, mwanaume analelewa kwa kubembelezwa bembelezwa


Juzi amekuja kijana miaka 23 tena yupo chuo anadai kashikwa matako na lecturer wake , na lecturer kamuomba matako eti yupo dilemma anahitaji ushauri, wengi wameishia kumpa ushauri wa kumbembeleza bembeleza tu na tuliomkaripia mods walifuta comments zetu
 
Alafu huko mosho vijijini waache washupaze shingo na kukataa hapa ila wanajua mimi nakumbuka vyema field yangu huko mwika yani jamaa tena anajidai mtumishi kumbe shoga likaniomba no yangu alafu usiku likanitumia sms naomba unifi*r* daaah nilichoka kuja kufanya uchunguzi nikaja kugundua moshi imeharibika vibaya mno mno tena lakini narudia tena na tena lile kanisa pendwa kule ndio chanzo kikubwa ,wale viongozi makaka na mababa wanaharibu sana watoto wale wanaoenda kanisa hilo yani daaah inauma kule baada ya muda sijui itakuaje ,rombo mpaka walisingizia pombe inawamaliza nguvu ,, aaah wapi ni p#mbu liliwazidia
Taja kanisa ijulikane, unaficha nini?
 
Back
Top Bottom