Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malezi ya kijinga nayo yamechangia, mwanaume analelewa kwa kubembelezwa bembelezwa
Juzi amekuja kijana miaka 23 tena yupo chuo anadai kashikwa matako na lecturer wake , na lecturer kamuomba matako eti yupo dilemma anahitaji ushauri, wengi wameishia kumpa ushauri wa kumbembeleza bembeleza tu na tuliomkaripia mods walifuta comments zetu
Tatizo ni mwanaume anayetongoza mwanaume mwenzake...
Tatizo ni mwanaume anayepapasa uwemba wa mwanaume mwenzake...
Bidhaa bila mnunuzi hukosa soko
Ni kutokana na tamaa zao, wachagga bwana. Sasa hivi Waarab wataanza kuhamia huko kwenda kujifilia wachaggaMh Rais akiwa anazungumza nna viongozi wa WANAFUNZI kutoka zenji na Bara Jana aliwataka waache kuiga uzungu.
Rais anawataka WANAFUNZI kuzingatia Mira na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakkwenda kombo.
Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli Hali ni mbaya hasa mikoano wimbi la kulawitiwa limekuja juu sanaaa ukifika Kilimanjaro hasa wilaya ya Moshi vijijini huwezi amini ila ukweli ni kuwa watoto wadogo wanalawitiwa kama karanga za kukaanga,nje ya watoto unaambiwa pahala kama Marangu mtoni Sasa imekuwa fasheni bodaboda hasie pandwa haoni kama kakamilika.
Huwezi amini unaambiwa kati ya boda boda watano wanne wanapelekewa moto,watoto wa kichaga na weupe wao Sasa wanapigwa "pumbu" ni hatari.
Sababu kubwa ni kutaka maisha mazuri,wengi wanalelewa ovyo sana na mama zao Kwa kuwapa Kila kitu inapotokea mama zao wamefariki basi vijana wanaingia kwenye wingu Nene ikiwemo kutafuna MIRUNGI,mwishowe wanakosa hata chapaa ya kununua mirungi wanaona Bora wapandwe.
Jamii inakwenda wapi?tutafakari pamoja jumapili njema.
Tarime Tena?Mmh,Kanda ya kaskazini tena?Wagumu ni nini kimewakumba?Mchuga anakuwa shoga?Nchii hii basi wagumu wamebaki Tarime tu.One zone down
Jamaa weka pichaMh Rais akiwa anazungumza nna viongozi wa WANAFUNZI kutoka zenji na Bara Jana aliwataka waache kuiga uzungu.
Rais anawataka WANAFUNZI kuzingatia Mira na desturi zetu kinyume chake kizazi chetu kitakkwenda kombo.
Kuna pahala waweza usielewe kauli hii, ila kiukweli Hali ni mbaya hasa mikoano wimbi la kulawitiwa limekuja juu sanaaa ukifika Kilimanjaro hasa wilaya ya Moshi vijijini huwezi amini ila ukweli ni kuwa watoto wadogo wanalawitiwa kama karanga za kukaanga,nje ya watoto unaambiwa pahala kama Marangu mtoni Sasa imekuwa fasheni bodaboda hasie pandwa haoni kama kakamilika.
Huwezi amini unaambiwa kati ya boda boda watano wanne wanapelekewa moto,watoto wa kichaga na weupe wao Sasa wanapigwa "pumbu" ni hatari.
Sababu kubwa ni kutaka maisha mazuri,wengi wanalelewa ovyo sana na mama zao Kwa kuwapa Kila kitu inapotokea mama zao wamefariki basi vijana wanaingia kwenye wingu Nene ikiwemo kutafuna MIRUNGI,mwishowe wanakosa hata chapaa ya kununua mirungi wanaona Bora wapandwe.
Jamii inakwenda wapi?tutafakari pamoja jumapili njema.
Naficha nilichofichaTaja kanisa ijulikane, unaficha nini?
Shoga nae huyo si unaona hata uandishi wake?Umejibu upumbavu naisi na wewe ni wale wale wapumbavu
Kaskazini miaka ya 2017 hill swala lilikuwa linatafutiws ufumbuzi maana madhara yalishaabza kuonekana ili kulicombact mapema ila wenyeji wanaleta ujuaji mpaka limekuwa kubwa.Licha ya ukweli kwamba ushoga umeenea sana hapa nchini, Kanda ya Kaskazini inahitaji uangalizi wa karibu sana.
Hivi msenge ni nani? Maana nishawahi kula ban kisa hili neno
Shetani kazini, SpiritTatizo ni mwanaume anayetongoza mwanaume mwenzake...
Tatizo ni mwanaume anayepapasa uwemba wa mwanaume mwenzake...
Bidhaa bila mnunuzi hukosa soko