Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi

Unajua nini,, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha. Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu jamiiforums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho

#natanguliza shukurani wakuu
Natamani niseme me too lakini niwe mkweli kupitia jf nimenufaika na mengi mno....labda nipunguze tu
 
Binafsi bila smartphone mambo yangu mengi sana yatakwama. Kama huna cha maana unachofanya mtandaoni kweli smartphone itakuharibia. Mimi pamoja na kuwa mtumiaji wa mtandao sana niliamua kujitoa kwenye magroup yote ya watsapp. Yale magroup yanapoteza muda na ni sehemu za watu kujimwambafy.
Kweli mkuu whatsapp nikupoteza muda hata ukisema uitumie kutangaza biashara yako hakuna anayejali unaoneka unataka attention tu kutoka kwa watu lakini pesa hauingizi. Yaani hizi smartphone zinatoa sana kwenye reli vijana wengi mimi pia nikiwemo sijawahi nufaika na hii Smartphone yangu
 
No offense mkuu ila Kila comment yako nilikuwa nasoma Kwa sauti ya mshkaji Fulani huku kitaa ambaye aliuza ubongo wake Kwa makasi .
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi

Unajua nini,, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha. Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu jamiiforums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho

#natanguliza shukurani wakuu
If you live in the past, the future will never find you.
Smartphone sio inayokufailisha ila machaguo yako ya jinsi ya kuitumia ndio yanayokufailisha.
Hata jembe ni kifaa cha kilimo ila ukilitumia kumpasua mtu basi litakifailisha
 
Kweli mkuu whatsapp nikupoteza muda hata ukisema uitumie kutangaza biashara yako hakuna anayejali unaoneka unataka attention tu kutoka kwa watu lakini pesa hauingizi. Yaani hizi smartphone zinatoa sana kwenye reli vijana wengi mimi pia nikiwemo sijawahi nufaika na hii Smartphone yangu
Kitu ambacho hakikunufaishi achana nacho.
 
Natamani niseme me too lakini niwe mkweli kupitia jf nimenufaika na mengi mno....labda nipunguze tu
Hamna dada humu JF hakuna faida yoyote dada angu wengi humu hawaishi maisha ya uhalisia wao wengi wanafeki na story na bunuasi. Ukitaka kupata elimu itakayokusaidia kwenye maisha basi ni mtaani ndio mahali sahihi maana mtaani ndio unakutana na real life
 
Hamna dada humu JF hakuna faida yoyote dada angu wengi humu hawaishi maisha ya uhalisia wao wengi wanafeki na story na bunuasi. Ukitaka kupata elimu itakayokusaidia kwenye maisha basi ni mtaani ndio mahali sahihi maana mtaani ndio unakutana na real life
Nilikuwa nauguza bibi yangu na sikuwa na pesa but baadhi ya member humu hawakuniacha niaibike mkuu
 
Back
Top Bottom