Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Pole Sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameen Ameen[emoji23] [emoji23] Kila la kheri.
Natamani niseme me too lakini niwe mkweli kupitia jf nimenufaika na mengi mno....labda nipunguze tuHabarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi
Unajua nini,, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha. Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu jamiiforums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho
#natanguliza shukurani wakuu
Kwani lazima uuze c ugawe tu au huna mtaji ??Hapana ni smartphone ndio nimeitumia kuandika hii ni mara ya mwisho kuonana humu jamiiforums maana natarajia kuuza simu yangu soon
Kweli mkuu whatsapp nikupoteza muda hata ukisema uitumie kutangaza biashara yako hakuna anayejali unaoneka unataka attention tu kutoka kwa watu lakini pesa hauingizi. Yaani hizi smartphone zinatoa sana kwenye reli vijana wengi mimi pia nikiwemo sijawahi nufaika na hii Smartphone yanguBinafsi bila smartphone mambo yangu mengi sana yatakwama. Kama huna cha maana unachofanya mtandaoni kweli smartphone itakuharibia. Mimi pamoja na kuwa mtumiaji wa mtandao sana niliamua kujitoa kwenye magroup yote ya watsapp. Yale magroup yanapoteza muda na ni sehemu za watu kujimwambafy.
Hapana siwezi kugawa lazima niuze angalau niongeze mtaji wa biashara na nirudishe busy hasara nilizopoteza kwenye mabandoKwani lazima uuze c ugawe tu au huna mtaji ??
umejuaje ka sijakua?Ukikuwa utaacha tu mkuu nahisi bado hujawa na majukumu
If you live in the past, the future will never find you.Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi
Unajua nini,, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha. Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu jamiiforums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho
#natanguliza shukurani wakuu
Motivation speaker wanaotuchanganya ni hawa wa social media watakuwambia amejenga gorofa kupitia digital marketing kumbe anakaa kwa wazazi huko buza[emoji23][emoji23]Motivational speakers mnatuchanganya
Kitu ambacho hakikunufaishi achana nacho.Kweli mkuu whatsapp nikupoteza muda hata ukisema uitumie kutangaza biashara yako hakuna anayejali unaoneka unataka attention tu kutoka kwa watu lakini pesa hauingizi. Yaani hizi smartphone zinatoa sana kwenye reli vijana wengi mimi pia nikiwemo sijawahi nufaika na hii Smartphone yangu
Hamna dada humu JF hakuna faida yoyote dada angu wengi humu hawaishi maisha ya uhalisia wao wengi wanafeki na story na bunuasi. Ukitaka kupata elimu itakayokusaidia kwenye maisha basi ni mtaani ndio mahali sahihi maana mtaani ndio unakutana na real lifeNatamani niseme me too lakini niwe mkweli kupitia jf nimenufaika na mengi mno....labda nipunguze tu
Sijakuelewa mkuu kuuza ubongo kwa makasi unaamaana gani??No offense mkuu ila Kila comment yako nilikuwa nasoma Kwa sauti ya mshkaji Fulani huku kitaa ambaye aliuza ubongo wake Kwa makasi .
Acha kuwa motivation speaker [emoji23][emoji23][emoji23] mkuuSmartphone yangu ndio ofisi yangu, nimegawa smartphone kwa vijana wanasajilia line za simu kwa mwezi naingiza minimum 1m
Nilikuwa nauguza bibi yangu na sikuwa na pesa but baadhi ya member humu hawakuniacha niaibike mkuuHamna dada humu JF hakuna faida yoyote dada angu wengi humu hawaishi maisha ya uhalisia wao wengi wanafeki na story na bunuasi. Ukitaka kupata elimu itakayokusaidia kwenye maisha basi ni mtaani ndio mahali sahihi maana mtaani ndio unakutana na real life
Si unatumia mitandao ya kijamii you still a kid coz majukumu bado hujawa nayo hivo pesa zako zote unamalizia kwenye mabandoumejuaje ka sijakua?