Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

If you live in the past, the future will never find you.
Smartphone sio inayokufailisha ilaachaguo yako ya jinsi ya kuitumia ndio yanayokufailisha.
Hata jembe ni kifaa cha kilimo ila ukilitumia kumpasua mtu basi litakifailisha
Sawa motivation speaker, but am chosing my way I think am right
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi

Unajua nini,, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha. Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu jamiiforums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho

#natanguliza shukurani wakuu
Infact nowadays world [emoji288] is depending on technology so in order to success must know how to use that technology effective and efficient and not to run away from that technology.
So to stopping using Smart phone is not way of achievement your goal but understand how to use that smartphone to create more opportunities that's can assist to archive you goals..
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.

Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.

Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.

Natanguliza shukurani wakuu.
Yaani tajiri Elon Musk atumie Smart afu kalumakenge mmoja aseme hautafanikiwa, hii dunia bwanaaa
 
Nilikuwa nauguza bibi yangu na sikuwa na pesa but baadhi ya member humu hawakuniacha niaibike mkuu
Duh are you serious?? Hivi kwa dunia ya sasa kuna anayeweza kukusaidia vyema humu mtandaoni na hakujui wala hamjawahi kuonana ?? Apo dada yangu umeniacha njia panda labda mnafahamiana nyinyi ndugu wa damu mmekutana humu JF tu
 
Kazi yangu bila smart haifanyiki.App za benki,App za ratiba ya kazi.App za kutransfer pesa,App za kukatia ticket za usafiri,App za online shopping,App za discounts,App za kufahamu barabara ipi ina foleni,App za kufahamu ratiba na saa za vyombo vya usafiri.Vilevile sihitaji kubeba wallet wala kadi natumia smartphone.
 
Bila smartfoni tatizo labda kama uko porini huko mtandao unasoma E,huna haja nayo....fursa unaweza kuipata via mtandaoni

Binafsi imenirahisishia kutembea na 💻 na begi kila muda au kusubiri mpaka niwe karibu na desktop hata kama nasafiri kila kitu kinaishia kwenye Simu bila shida na mambo yanaenda
 
Subiri kwanza, kwahiyo shida ni smartfone haina manufaa au ni kwamba umefulia so unataka uuze hyo infinix yako upate sh. mbili tatu.
Kwanza mimi situmii infinix mkuu. Kaa kwakutulia kama uwezi kukomenti pita hivi
 
Kazi yangu bila smart haifanyiki.App za benki,App za ratiba ya kazi.App za kutransfer pesa,App za kukatia ticket za usafiri,App za online shopping,App za discounts,App za kufahamu barabara ipi ina foleni,App za kufahamu ratiba na saa za vyombo vya usafiri.Vilevile sihitaji kubeba wallet wala kadi natumia smartphone.
Hawezi kuelewa maana bado yupo kwenye analogy
 
Acha kuwa motivation speaker [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu
Motivational speaker wa nyokooo? Mi nakuambia uhalisia mimi ni TEAM LEADER kwenye mtandao fulani wa simu hapa Tz na nina team inafanya kazi vizuri tu. Hivi mtaani kwako hamna vijana wanaosajili line? Sasa hao mimi ndio nawamanage. Mfano nanunua smartphone labda laki 1 nampa kijana namfanyia training akiiva anaingia mzigoni team nzima ikifanya kazi vema nna uhakika wa kuingiza pesa ndefu. Baki na smartphone kuchatia nina degree 1 tu lkn naweza kuwa na kipato kikubwa kuliko mjombaako kijana. Karibu kwa maulizo PM PIMBI FC
 
Infact nowadays world [emoji288] is depending on technology so in order to success must know how to use that technology effective and efficient and not to run away from that technology.
So to stopping using Smart phone is not way of achievement your goal but understand how to use that smartphone to create more opportunities that's can assist to archive you goals..
Wewe hio technology unayoizungumia imeshatuharibu sisi vijana tutapoteza muda kwenye vitu visivyonafaida yoyote kwetu wanaonufaika ni hao waliozileta hizi technology sisi ndio tumefanywa masoko bila kujijuwa. If you want to succeed stop waste time on social media and start do the work on your dream fight for them..... Less scroll more life avoid social media is one of self-care
 
Back
Top Bottom