The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Dogo anakwambia digital marketing ni utaperi .Biashara zote sikuhizi zinategemea social networks thru smartfones kukuza wigo wa wateja. Wewe bladfaken mmoja kutoka sweken huko unakuja kusema chimatifoni bla bla bla...shwain kabisa.
[emoji23][emoji23]Sawa Elon musk Najua apo ushapiga dollars fulani kila unapotumia googleTatizo lako mbishi, unabisha kitu hukijui..
Ndio maana unaona unapoteza muda kutumia smartphone
Natakupa homework, Anza Google hiyo kitu digital marketing..
Hatuongelei Network marketing..
So how do i get affected by those situations?Mimi sifahamu mkuu, na wala sihitaji kufahamu vipato vya wengine na shida za wengine mkuu. Kuacha matumizi ya smartphone ni maamuzi yangu na naona nipo sahihi nyie endeleeni kupoteza pesa na muda wenu humu jamiiforums kufuatilia udaku, wanasiasa ambao hata wao hawawajui , pia endelea kufuatilia nyuzi za watu humu ukizani watu wapo really kumbe wanafake life mtandaoni
Kumbe kubetting nayo ni kazi??? Unatumia smartphone kubetting unasema unafanya kazi zako seriously???? Okay Sawa wewe ni Mo dwejiKazi zangu ndizo sehemu ya matumizi ya hiyo Simu, issue ya bando inategemea unatumia kwa matumizi gani na una lengo gani..... huwezi kuwa na hitimisho eti smartfoni zinatia umaskini.......siyo kila mtu anatumia vibaya kama unavyofikiria mkuu,na usikidanganye kizazi chako na ukoo wako utawapoteza zaidi
Anadhani tunazungumzia forex maskini ya MunguDogo anakwambia digital marketing ni utaperi .
Hii mbuzi sijui ya wapi
Wewe ndio mbuzi hivi kwa akili yako unaamini biashara za online kukutoa kimaisha?? Kweli wewe kichwe bogus [emoji23][emoji23] halafu mnaamini zile apps za kudownloading money Loh! Shame on youDogo anakwambia digital marketing ni utaperi .
Hii mbuzi sijui ya wapi
We jamaa upo upo kizamani sana,ivi unajua iyo mitandao watu wanaitumia kuingiza pesa,watu wanafanya online business zao mitandaoni ,sio Kila mtu yupo Facebook,insta na WhatsApp kupoteza muda,wewe ndo Haina faida kwako achana nayo .Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Kabisa ndugu sema vijana wa siku hizi wabishi ukiwaambia kitu akiache kina madhara wanakuletea ubishi usio na tijaNimekuelewa @ Mleta mada.
Nakuunga mkono na mguu.
Matumizi ya hii kitu yanapaswa kuwa at very minimal.
Vinginevyo mtu anaitumia katika kazi zake.
ππHii Tz Kuna vituko sana na Kuna watu uelewa wao wa digital economy mdogo sanaAnadhani tunazungumzia forex maskini ya Mungu
Kabisa mkuu tatizo la vijana wasasa hivi ni kupenda udaku, kufuatilia maisha ya wasanii mara wachezaji na mambo yasiyo na umuhimuStudies zinaonesha hivyo.
Ni afadhali kujizoeza kujisomea vitabu kuongeza kiwango cha ufahamu Na ubunifu kuliko umbea Na unywanywa wa kwenye mitandao ya jamii.
Hizo ni akili zako za Old stone age unazileta hapa........kwanza inawezekana nabishana na mtu asiye na exposure yoyote....... huduma zote muhimu zipo kwenye Simu......hayo ya kubet ni kukariri kwako na uelewa wako mdogo wa Dunia ilipo.Kumbe kubetting nayo ni kazi??? Unatumia smartphone kubetting unasema unafanya kazi zako seriously???? Okay Sawa wewe ni Mo dweji
Oyaaa ukiona uzi unakukera jifute wewe acha watu wapate madili, vijana tuache matumizi ya smartphone tuingie kitaa kusaka money imeshaandikwa kula kwa jashoUzi ufutwe huu .
Unajua maana ya digital marketing na online business?Hapana siwezi kugawa lazima niuze angalau niongeze mtaji wa biashara na nirudishe busy hasara nilizopoteza kwenye mabando
Mkuu unajidanganya aisee mm na muda sijawai fungua Facebook, Instagram hata mwaka unapita ntafungua mara Moja......Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
You wasted your time bro. Acha kufuatilia maisha ya watu mtandaoni hayatakupa chochote zaidi ya kukupotezea mudaSo how do i get affected by those situations?
Sawa bill gates kila la heri kwenye ku make money online uingize dollars you are billionaireHizo ni akili zako za Old stone age unazileta hapa........kwanza inawezekana nabishana na mtu asiye na exposure yoyote....... huduma zote muhimu zipo kwenye Simu......hayo ya kubet ni kukariri kwako na uelewa wako mdogo wa Dunia ilipo.
NB:Hii ndiyo comment ya mwisho, siwezi kuendelea kudebate na mtu anatumia kitochi,ni kupoteza muda