Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Hapana ni smartphone ndio nimeitumia kuandika hii ni mara ya mwisho kuonana humu jamiiforums maana natarajia kuuza simu yangu soon
Ugumu wa maisha yako umesababishwa na ukosefu wa akili, huu uzi ni kipimo tosha cha uwezo wako wa kufikiri.Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Smartphone still ni muhimu katika kukuza uchumi. Inafaida na hasara kama vitu vingine vilivyo na faida na hasara nikujitahidi kujicontral na kuepuka urahibu wa social media.Hapana mkuu nineshaapa baada ya kuuza simu yangu sitatumia tena hizi smartphone labda mpaka pale nitakapo kuwa vizuri kiuchumi ila kwasasa ngoja nifocus na maisha yangu seriously
Too bad mtu mwenyewe anaonekana mbishi na hataki kujifunza vitu vipya.Bora umeongea
Smartphone ni office mzee. Amka toka usingiziniHabarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Kweli? Mbona muonekano wako unakukataa? Una uso wa kitapeli tapeli hiviSmartphone through digital marketing, napiga sana hela..
KivipiSmartphone through digital marketing, napiga sana hela..
Mo wa Konyo labda Elon Musk ila punguza jazba mitandao ya simu ina pesa ndefu weweeeSawa mtoto wa bakharesa, wewe ni Mo dweji Mkuu
Una hoja mkuu usikilizwe..Hii ni kwa wabongo kwa sababu wabongo wengi social media wanaitumia kwa vitu vya kijinga sana.
Ukiwa na akili ni sehemu nzuri sana ya kuongeza ufahamu na elimu yako.
Wengine ndio ofisi zetu huko mkuu. Nadhani ni jinsi wewe unavoamua kutumia hicho kishkwambi chako tuHabarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
Kuna vijana hawa wavaa pedo wajinga sana.Huu uzi umeutuma kwa kutumia kishikwambi?
Basi wewe dream zako ni kuwa mchoma mkaa,au kuchunga ng'ombe ,hao wachoma mkaa na wanao chunga ng'ombe wanauza bidhaa mtandao ,huwezi ishi bila technologies ,kuna mda utapata fursa flani utataka utumie search engine kama google kujua upana na masoko ya fursa,waweza pata tatizo la kiafya ikawa mkombozi, waweza tafuta bidhaa ukaipata kea haraka,iuze kwanza halafu utaona manufaa badayeWewe hio technology unayoizungumia imeshatuharibu sisi vijana tutapoteza muda kwenye vitu visivyonafaida yoyote kwetu wanaonufaika ni hao waliozileta hizi technology sisi ndio tumefanywa masoko bila kujijuwa. If you want to succeed stop waste time on social media and start do the work on your dream fight for them..... Less scroll more life avoid social media is one of self-care
DuhAcha ubabaishaji, hizo digital marketing ni utapeli mtupu hakuna aliye tajirika huko
Ukweli Mtupu..!Hii ni kwa wabongo kwa sababu wabongo wengi social media wanaitumia kwa vitu vya kijinga sana.
Ukiwa na akili ni sehemu nzuri sana ya kuongeza ufahamu na elimu yako.
Uhakika upo mkuu, inategemea tu na Mtu mwenyewe na akili yakeHapana mkuu hayo magroup uko whatsapp nikupoteza muda na mabando huwezi kujiajili huko kwanza sidhani kama kuna uhakika wa biashara huko ni utapeli tu mkuu
Kijana kwenye msafara wa mamba na kenge awakos ponda Mali kufa kwaja acha kuyaogopa maisha km umepangiw kutoboa kwa smart bas utatoboa 2 km ukupangia kutoboa kwa bas autotoboa sm nimenunua lake 4 nzima sm lait nngekuwa sitak kuitumia nmeinunulia nin hii sm kubwa acha kuwanjoy watu wakat we mwenyew unatumia sm mkubwa so muda wakutumia kiswaswadu huu kijana ponda Mali kufa kwaja....Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.
Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.
Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.
Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.
Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.
Natanguliza shukurani wakuu.
As long as napiga hela kupitia smartphoneKweli? Mbona muonekano wako unakukataa? Una uso wa kitapeli tapeli hivi