Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

Ukitaka Kufanikiwa kwenye haya maisha achana na matumizi ya Smartphone

Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.

Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.

Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.

Natanguliza shukurani wakuu.
Ugumu wa maisha yako umesababishwa na ukosefu wa akili, huu uzi ni kipimo tosha cha uwezo wako wa kufikiri.
Utauza smartphone, baadae utauza nguo utembee utupu!
 
Hapana mkuu nineshaapa baada ya kuuza simu yangu sitatumia tena hizi smartphone labda mpaka pale nitakapo kuwa vizuri kiuchumi ila kwasasa ngoja nifocus na maisha yangu seriously
Smartphone still ni muhimu katika kukuza uchumi. Inafaida na hasara kama vitu vingine vilivyo na faida na hasara nikujitahidi kujicontral na kuepuka urahibu wa social media.
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.

Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.

Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.

Natanguliza shukurani wakuu.
Smartphone ni office mzee. Amka toka usingizini
 
Smartphone kwangu ni life line , kuanzia asubuhi hadi usiku ni smartphone ina inafqnya kazi ..
Natumia kuangalia bidhaa sokoni,manunuzi ya bidhaa hizo nalipa kodi , kutuma na kupokea receipt etc
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.

Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.

Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.

Natanguliza shukurani wakuu.
Wengine ndio ofisi zetu huko mkuu. Nadhani ni jinsi wewe unavoamua kutumia hicho kishkwambi chako tu
 
Wewe hio technology unayoizungumia imeshatuharibu sisi vijana tutapoteza muda kwenye vitu visivyonafaida yoyote kwetu wanaonufaika ni hao waliozileta hizi technology sisi ndio tumefanywa masoko bila kujijuwa. If you want to succeed stop waste time on social media and start do the work on your dream fight for them..... Less scroll more life avoid social media is one of self-care
Basi wewe dream zako ni kuwa mchoma mkaa,au kuchunga ng'ombe ,hao wachoma mkaa na wanao chunga ng'ombe wanauza bidhaa mtandao ,huwezi ishi bila technologies ,kuna mda utapata fursa flani utataka utumie search engine kama google kujua upana na masoko ya fursa,waweza pata tatizo la kiafya ikawa mkombozi, waweza tafuta bidhaa ukaipata kea haraka,iuze kwanza halafu utaona manufaa badaye
 
Hii ni kwa wabongo kwa sababu wabongo wengi social media wanaitumia kwa vitu vya kijinga sana.

Ukiwa na akili ni sehemu nzuri sana ya kuongeza ufahamu na elimu yako.
Ukweli Mtupu..!

Inategemea na matumizi ya smartphone yako

Ukiitumia vizuri kwa mambo ya msingi na muhimu utafaidika sana, lakini ukiona mtu anatumia kwenye ponography, kamari na vitu visivyo na umuhimu maana yake hana matumizi sahihi
 
Hapana mkuu hayo magroup uko whatsapp nikupoteza muda na mabando huwezi kujiajili huko kwanza sidhani kama kuna uhakika wa biashara huko ni utapeli tu mkuu
Uhakika upo mkuu, inategemea tu na Mtu mwenyewe na akili yake

Kuna ambao kweli smartphone hawapaswi kuwa nayo kwsbb wanaishia kwenye pornography, kupiga picha na kamari, hawana matumizi mengine

Hao kisimu cha button cha cha 50K kinawatosha. kupiga, kupokea na kuwasha tochi tu
 
Habarini wakuu ni mimi tena kijana wenu humu jamiiforums, leo nimeamua kutoa ujumbe wangu kwa vijana wenzangu kama mimi.

Unajua nini, hizi smartphone nowadays zinatupotezea muda wa kufanya mambo ya umuhimu katika maisha.

Unakuta vijana wengi tunapoteza muda kwenye social media (facebook, instagram, whatsapp, youtube na hata humu jamiiforums), nimeshatumia sana hii mitandao ya kijamii hakuna faida yoyote ninayoipata zaidi ya kupoteza pesa kwenye mabando, kucheza kamari na mambo mengine mengi hasa kucheck porn.

Isitoshe naona matumizi ya smartphone yanatutoa kwenye reli ya kupambana na maisha, vijana tunakuwa malazyness, na hatufocus kwenye future, hizi smartphone kwakweli zinatufelisha sisi vijana tunapoteza muda wa kufanya mambo ya maana kutwa nzima tuko mitandao ya kijamii na hatupati faida yoyote.

Kuanzia leo mimi naacha matumizi ya smartphone nifocus na maisha yangu, hivo wakuu mkiniona nipo kimya humu JamiiForums jueni tu kuwa nimeshauza simu yangu ili ni concentrate na maisha seriously ungana nami kijana mwenzangu tuache kupoteza muda na haya masocial media yasiona umuhimu wowote kwenye maisha yetu ya kesho.

Natanguliza shukurani wakuu.
Kijana kwenye msafara wa mamba na kenge awakos ponda Mali kufa kwaja acha kuyaogopa maisha km umepangiw kutoboa kwa smart bas utatoboa 2 km ukupangia kutoboa kwa bas autotoboa sm nimenunua lake 4 nzima sm lait nngekuwa sitak kuitumia nmeinunulia nin hii sm kubwa acha kuwanjoy watu wakat we mwenyew unatumia sm mkubwa so muda wakutumia kiswaswadu huu kijana ponda Mali kufa kwaja....
 
Back
Top Bottom