Ukitaka kuishi maisha marefu usioe

Ndugu Zangu Oeni Hayo Masuala Yapo Na YataendeleA
Tanzania Inahitaji Nguvu Kazi Bila Kuzaa Maana Yake Tutarudi Nyuma Sasa
Acha Upotoshaji!!
Kuzaa sio mpaka uoe ni swala la kukutanisha vikojoleo mimba inatungwa, mtoto azaliwa, mtoto alelewa, mtoto anakua, kizazi kinasonga
 
Msanue baharia kuwa "proceed with great caution" aliruka mkojo bado hajatua (yupo hewani)akitua tu anayakanyagaaaaaaaahhhhh... asijisahau sana. Avute handbrake. Ni mpango wa Mungu kumuaminisha huyo mmama akuamini na akueleze dhamira yake ili wewe uwe msaada na mkombozi wa mzee wetu.
 
Daah ni hatari Sana, napanga kumfanyia mpango ahame kituo Cha kazi kwanza awe mbali na huyo mama then mengine yaendelee.
 
Wewe ndiye mwokozi pekee wa huyo dingi pamoja na Muumba.
Huyo mama anamweka kwenye kilengeo daily
Kwanza mzee ashanunua gari akampa mdogo wake na huyo mama akimbize mjini jamaa akainywa rafiki yangu. Ila kwakuwa mapenzi sijui ndumba mzee akapiga kimya.
 
🤨🤨
 
Naam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…