Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Usiropoke, Jordan Univ College ni constituent college ya SAUT, zamani ikiitwa Salvatorian iko Morogoro. A simple googling would have saved you from revealing an uninformed being you're.

bro waambie coz wabongo wana dharau sana!
 
Angalia jina lako kama umo ufanye second round application kwa course walizotoa.
 
Matokeo tayari login in TCU website utaona kama umechaguliwa au la fanya haraka kuapply second round.
 
hata zile nafasi zilizokuwa kwenye application zilitofautiana na zile za kwenye Guide book!!!!!!
 
TCU HEHEHEHE eti haya ndo Majina

9999999

9999999
9999999
9999999
9999999
9999999
9999999
9999999
9999999
 
tatizo linawezekana ikawa mtandao;;ata mimi mara nikiingia nakuta courz ya kwanza not eligle;;;,,,then nikiingia sikunyingine nakuta ya pili not eligible na ile ya kwanza eligble;''''
 
jamani usiwe unacomplain ur not admited kumbe hauna minimum entry
qualifications that is two principles honey best uka aply
privately na sio kupitia tcu poleeh madr best of
luck
 
TCU wametoa majina ya applcants waliokosa 1st raund,wafanye 2nd..sasa utata wa kwanza wapo waliopo katka hayo majina na uku tayar majna yao yali appear kwa waliokua select udsm.utata wa pili,m2 jina kule lipo bt buton ya 2nd applcation ni not active.utata wa 3.mtu jina halpo kwa wa' 2nd raund bt pale ipo actve...HEMU JIONEENI UBABAISHAJI huo.
 
Walio na div mbovu daima watakua na mashaka. Walio na div nzuri hawana muda wa kuhangaika.
Ndugu zangu wanaJF kufanya Application mara ya pili sio kifo hivyo waambie hao ndugu zako wafanye tena application.
 
do!wapendwa me accaunt yangu ya tcu haionyeshi chochote kipya sasa ndo nini kifanyike na still kuna vyuo ambavyo nliaply bado hawajarelease mf.SAUT,SUA MZUMBE,TUMA,MKWAWA etc
 
Walio na div mbovu daima watakua na mashaka. Walio na div nzuri hawana muda wa kuhangaika. Ndugu zangu wanaJF kufanya Application mara ya pili sio kifo hivyo waambie hao ndugu zako wafanye tena application.
iv we unafkr kuwa na division 1 au2 ndo umemaliza mchezo,mimi nina2 na wa2 kibao nawajua wenye 2 tena za PCM,lakn sasa wanasafa
 
TCU wametoa majina ya applcants waliokosa 1st raund,wafanye 2nd..sasa utata wa kwanza wapo waliopo katka hayo majina na uku tayar majna yao yali appear kwa waliokua select udsm.utata wa pili,m2 jina kule lipo bt buton ya 2nd applcation ni not active.utata wa 3.mtu jina halpo kwa wa' 2nd raund bt pale ipo actve...HEMU JIONEENI UBABAISHAJI huo.

Sidhani kama ukisemacho ni kweli!!
 
TCU wametoa majina ya applcants waliokosa 1st raund,wafanye 2nd..sasa utata wa kwanza wapo waliopo katka hayo majina na uku tayar majna yao yali appear kwa waliokua select udsm.utata wa pili,m2 jina kule lipo bt buton ya 2nd applcation ni not active.utata wa 3.mtu jina halpo kwa wa' 2nd raund bt pale ipo actve...HEMU JIONEENI UBABAISHAJI huo.

mkuu ni kweli,mimi mwenyewe button ya 2rd round ilikuwa active,so nilichofanya nilijaribu kama na fanya 2rd application ndo kaujumbe kakaja kwamba tayar nime be admitted siruhusiwi kufanya 2rd,so wote wenye mashaka fanyeni hivyo,kama usipojibiwa kama mm basi unaweza ukajibiwa kuwa (prgm you select is already fullfill try another)(dear applicant you have done application successfully conglatution) so ukiona maneno hayo yaliyoko kwenye mabano basi ujue 1st round ulikosa nafasi.
 
Mkuu sidhani kama uko sahihi kuanzisha thread kwa mawazo ya kuota au kufikiri 2 ambayo ni vigum kiukweli kuchangia,thnk twice g.thinker
 
Back
Top Bottom