Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
zethumb Mkuu nadhani tatizo liko kwenze '' You Are Admitted '' kama wewe unalielewa vizuri hatuna haja ya kubishana, 2 nadhani neno not yet
processed waliliweka kabla hata ya Eligibility status. Pia kuna jamaa yangu amepata UoA na mwingine Tumaini na still wote account zao ni Not Yet Processed. Nadhani pia unapaswa kuelewa kuwa profile za applicants hazitumiki tena.
processed waliliweka kabla hata ya Eligibility status. Pia kuna jamaa yangu amepata UoA na mwingine Tumaini na still wote account zao ni Not Yet Processed. Nadhani pia unapaswa kuelewa kuwa profile za applicants hazitumiki tena.
Last edited by a moderator: