Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Majina ya selection za Udsm yanapatikana wapi? Coz nimetafuta sana tcu na web ya udsm but nothing
 
Majina ya selection za Udsm yanapatikana wapi? Coz nimetafuta sana tcu na web ya udsm but nothing

Walewale. Dah majina hayajatolewa officially ndugu. Itakua nyie ndo wale mliokuja JF baada ya kusikia kuna matokeo ya UDSM.
 
Walewale. Dah majina hayajatolewa officially ndugu. Itakua nyie ndo wale mliokuja JF baada ya kusikia kuna matokeo ya UDSM.

kazi ya Ze duduz hiyo!! wanatujazia jukwaa hadi wengine tunashindwa kuhutubia mambo ya maana.
 
wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi. yaani una maana mtu ambaye ni sehemu ya admin ya chuo ndo kakupigia? hivi huoni kama unajidanganya mwenyewe? hakuna chuo chenye utaratibu huo, kupigiwa simu.

mna usongo sana na masomo enhee? AU TAMAA YA BUMU?
 
Leo kuna watu wamenipigia simu kutoka katika vyuo nilivyochagua wanasema nimechaguliwa kujiunga na hicho chuo is it posible wakuu?
Ni sahihi kabisa hilo huwa linafanyika kwa baadhi ya vyuo, Pia hutuma email ili kukujulisha na kutaka uthibitisho kutoka kwako kama utajiunga na chuo chao. Kumbuka ulipojaza fomu za TCU uliweka mawasiliano yako ya simu na email. Kuthibitisha hilo waweza kuwapigia kwa hiyo namba na kujalibu kuwaulizia mfano kuhusu barua ya kuitwa chuoni, au kuulizia ghalama za ada ukijifanya kwamba wataka kujilipia mwenyewe. Hivyo ondoa shaka ni kweli baadhi ya vyuo hupiga simu. (NB:Nipo kwenye chuo kimoja na huwa tuna huu utaratibu).
 
mimi ningeshauri watulie tu kwan TCU ni waelewa na watatenda jambo kwa ajili yao

@Pokofame
 
:wacko: "Jamani mi nadhani selection tusubili baada ya tarehe 25 wakimaliza 2nd round application la sivyo tutatiana pressure bure!"


 
wakati ukifika kila kitu kitakuwa wazi. yaani una maana mtu ambaye ni sehemu ya admin ya chuo ndo kakupigia? hivi huoni kama unajidanganya mwenyewe? hakuna chuo chenye utaratibu huo, kupigiwa simu.

mna usongo sana na masomo enhee? AU TAMAA YA BUMU?

Bumu ndo mpango mzima...
 
Yaani vyuo vya bongo vinapigia prospective candidates? Manake hii ipo UK, tena wanakupigia na kukuambia ada ni 40,000 £ only excluding meals and accommodation. Unaelewa why it is worth kukupigia simu hata mchana kutwa mtie stori. Nahisi unatapeliwa, next utapigiwa umekosa utoe hela kidogo!
 
Mkuu nasikitika kwa muda ulio upoteza kutuletea madudu hapa jamii forums. Kama wewe ni mfanyakazi wa TCU twambie tujue mapema maana sote tumesha jua CCM na ninyi lenu ni moja , nina maana kazi imewashinda. Tumewavumilia vyakutosha, uzalendo karibu unatushinda. Msituone mazuzu kiasi cha kutudharau kiasi hiki, kumbuka yaliyo tokea egypt, tunis etc.

Kama sio huna la kuandika ni vyema ukanyamaza kuliko kutuletea dhihaka kama hizi. unajua mmeweka hiyo status kama geresha ili kutufanya tutulie wakati tunajua kinacho endelea.

Kosa si la mtu mmoja hapo TCU na wala hampaswi kumlaumu, tunajua nani kasababisha hayo yote. Tunaendelea kufatilia na habari kamili zitafuata. hatuwezi kuacha taifa liangamie kwa ajili ya nyie wachache. nitaendelea.......

yaelekea wewe zuzu, mimi nimepost mada kutaka kupata na wewe upate udadavuzi wa haya ya TCU wewe unaingia na ishu za CCM na kuajiriwa TCU nani kakwambia mimi niko TCU? kwamba tumeshindwa kazi mimi ni husiana nini na kazi za TCU? ETI mimi CCM ulinipa kadi? dadavua mada na si kuleta siasa za uchuara hapa kwa wasomi bhana, mimi nawasaidia nyie watoto mnaotaka kuenda vyuo kwa mfumo mbovu wa TCU unaniletea habari za egypt na libya? Mimi nimemaliza chuo na nina digrii ya uhakika tena NIMEINGIA CHUO KWA KUFANYA MTIANA.........MARTICULATION..........ILIYOKUA INACHAMBUA VICHWA MAKINI VILIVYOFAULU FORM SIX KWA KUTUMIA VICHWA VYAO NA SIYO wa TCU mnao fanya forgery mnaingia chuon bila kutathminiwa kama ndo mliofanya mtihani wa Six! angalia tabia zao watoto wa tcu mlivyona tabu vyuon ndoo maana tukiwa chuon tuliwaita .............TCU...........saa hivi wote TCU sijui mtaitanaje! tafakari!
 
TCU wametoa majina ya applcants waliokosa 1st raund,wafanye 2nd..sasa utata wa kwanza wapo waliopo katka hayo majina na uku tayar majna yao yali appear kwa waliokua select udsm.utata wa pili,m2 jina kule lipo bt buton ya 2nd applcation ni not active.utata wa 3.mtu jina halpo kwa wa' 2nd raund bt pale ipo actve...HEMU JIONEENI UBABAISHAJI huo.
Duh! na wewe unatarajia kwenda chuo kikuu? Sasa naelewa walimu wanaposema mazingira ni magumu.
 
Acha mashudi kijana nini maana ya dakika tano sasa be specific au we ndo unaendaga kutega kwenye maofisi ya wa2 wenye wireless internet nini ukakuta wameshafunga
 
Back
Top Bottom