NingaR
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 2,759
- 591
daah wadau mi nishachoka na hawa jamaa coz ni-click kwenye 2nd round applctn kile ki-box cha kozi 1 kina appear so ndo inamaana 2nd applctn inanihusu au?
Angalia muonekano wa Apply 2nd Round na Add Seat (F.IV),Add Seat (F.VI) na My Profile kama ziko tofauti basi Umesha pita kijana! ila kama zina fanana rangi aza kujipapa na second round