Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Ukitaka kujua kama umekuwa ADMITTED na TCU do this

Da inachosha hasa pale unapofanya kazi ya kijiji,
mi nina madogo kibao wapo kijijini ni cm kila saa mpaka night kali,
sasa majina yao kwa walio kosa hayapo,
kwa wanaoitwa second selection hawapo,
kwa waliokosa mkopo hawapo,
kwa waliojaza nusu nusu hawapo,
Jamani ntawajibu nini hawa ndugu???
Na je tutajuaje kama form za mkopo huko DSM walizipata??
alafu profile zao,
selection status___NOT YET PROCESSED.
elegibility_________ELIGIBLE.
SASA WAMEJUAJE ELIGIBLE WHILE NOT YET PROCESSED???
 
Nimeigia account yangu lakini ipo not yet processed sasa ntajuaje nmechaguliwa ngoja nitupie pictures nimefuta jina contacts zangu kwenye picha ila zipo kwenye account


1. niki login inakua hiv
1.PNG


2. nimeingia my profil

2.PNG


3hiz ndo koz nilizochagua
3.PNG
 
Ok kumbe ndio jina lako? Mkuu kama kitufe cha 2nd round application hakipo active jua umechaguliwa, kama kipo active fanya mpango wa kuapply
 
topics humu vichwa vya habari tofauti vimechanganywa sana, mtu awezi pata thread asome jambo re kama kupigiwa simu na kujua habari yake inabdi asome hatayasiyohitajika kwake. i guess mnataka watu wasechi hadi basi, au wainngie ndo maana topic zinajirudia. sio lazima thread iwe na posts nyingi kukaa yenyewe ktk forum, au kuwa na kuangaliwa sana.

mods si msubiri watu waanze chuo, wanategemea jf for info inakuwa kama...natafuta sentensi tena as imeniponyoka.
 
Wana jf kama kuna ambaye ana tetesi za waliochaguliwa na tcu 2012/2013 kwa vyuo vifuatavyo anisaidie; Tumaini makumira.saut,st.john's,jordan,stefano moshi memorial
 
Wana jf kama kuna ambaye ana tetesi za waliochaguliwa na tcu 2012/2013 kwa vyuo vifuatavyo anisaidie; Tumaini makumira.saut,st.john's,jordan,stefano moshi memorial

kuna jamaa yangu kachaguliwa jordan university kapigiwa simu jana kua amechaguliwa na masomo yataanza trh 24 septemba
 
tcu wanazingua xana sema mambo yako jikoni ko tuendeleee kua wavumilivu
 
Jamanii! Me naombeni msaada maana nahis uböngo wangu haufany kaz!b4 kwny account yang niliandkiwa you are admitted then leo kitufe cha 2nd application kipo active.na kwenye yale majina ya ambao hawajachaguliwa simo
 
kijana acha kuwa mburula wewe ndo mzee wa kusubiria internet wireless kwenye ofisi za wa2 halafu kuwa kama msomi dogo
 
kijana acha kuwa mburula wewe ndo mzee wa kusubiria internet wireless kwenye ofisi za wa2 halafu kuwa kama msomi dogo

wewe umejuwaje kama anasubiri wireles internet kwenye ofisi za watu kama na wewe siyo mmoja wao kwasababu wezi huwa wanajuwana
Nawakilisha
 
Back
Top Bottom