Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Ukitaka kujua mke mmoja hatoshi, subiri mkeo ajifungue

Wakuu,
Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9).

Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa Mara (wengine Hadi bedRest hospitali).

Katika kipind hiki, mwanaume unaweza ukapitisha miez 2 kavu kavu bila kupiga show.

2. Mkeo Akijifungua salama kabisa
Hapa Una zaidi ya Siku 40 mpk 60 huwezi kabisa kupiga show maana uchafu Bado chini unatoka , tumbo na nyonga havijatengamaa kuweza kumpelekea moto. Inakubidi uwe mpole.

3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.

4. Kipindi Cha kumnyonyesha,
Hapa Kitaalamu (Kwa mamalia wote duniani) anapokua ananyonyesha, Anapoteza kabisa hamu na hisia za kufanya mapenzi. Kipind hiki ata ufanye nae, Ni vile unakua umemfosi TU, automatically Hana kabisa Nyg na Wewe (hawezi kuperfom vizuri).

Sasa Binadamu (Mwanamke) Huwa anamnyonyesha Mtoto kuanzia umri 0 Hadi mwaka na nusu, wengine Hadi miaka miwili.

Jiulize sasa, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa mwaka na nusu, Hadi miaka miwili bila kupiga kabisa show?. Hapa Wakifika ata 10% Basi niite mbwa.

Hata wale wanawake wenye changamoto za kiafya, kiwango Chao Cha chini kabisa Cha kumnyonyeshe Mtoto Ni Hadi miezi 6.
Jiulize Tena, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa miez 6, kavu kavu hawajapiga show?. Aisee labda kwa walio jela.

Sasa Katika madhira yote tunayopitia, ndo kipindi hiki Wanaume wengi Huwa tunalaumu kua "mke wangu kahamishia mapenzi yote Kwa Mtoto".

Na ktk kipindi hiki,
Hata ulale na mkeo wako kitanda kimoja, lazima Mtoto wenu atawekwa katikati "maksudi" ili kukuwekea FENSI usipige show.

Kuna MDA uzalendo utakushinda,
Utavizia Mtoto wenu kalala usngz, utamvuta Mtoto kushoto ili ufosi upige ata kimoja Cha fasta.

Ile unaanza TU kumuandaa mkeo ili upige, Mtoto ataanza kulia, Basi Mtoto akishaanza kulia TU, mkeo akili yote inahama, na Wewe mwenyewe uwezi vumilia kuendelea kupiga show uku Mwanao anaangua kilio na YOWE mbele zenu.

Apo Kumtuliza Mtoto asiendelee kulia, Ni lazima apewe Nyonyo.

Sasa hapo itabd usubir mwanao anyonye Tena mpk apitiwe na usngz (almost saa nzima),

Au ufosi upige show uku Mwanao anaendelea kunyonya.
(Hapa inahitaji ujasili WA mzabzab kupiga show uku Mtoto anaendelea kunyonya)

Kitu ambacho wanaume wengi sn hatukiwezi, pia wanawake nao hawakipendi kabisa.

Sasa katika Hali Kama hii,
Mwanaume yeyote mwenye Afya njema, Utakua na mojawapo ya solution mbili hizi kwny madhira haya ya kwenye ndoa.

1. Uamue kupiga punyeto Kutuliza Nyg
Au
2. Utafute mchepuko pembeni awe anakupunguzia Nyg.

Nawasilisha🙏
Shida Ina kuwa wapi? Kukosa kupiga mashine!
Watu weusi na ni alituroga? Tendo LA, ndoa, tunalipa umuhimu sana, kuliko vitu vingine kama kutengeneza ajira kwa ajiri yq wengine, kukusanya ukwasi kwa njia mbadala za kifedha
 
Waislamu walijua hilo, wakristu wakabaki na unafiki wa mke mmoja kumbe nyumba ndogo kibao. Amini usiamini, hakika nawaambieni japo haijaandikwa "mwanaume hatosheki na mke mmoja " Amen.
 
Sasa wale walioko jela wanaishije? Au wao sio wanaume?
Watu kwa kutafuta sababu hamjambo
 
Wakuu,
Kwanza Cha Moto unaanza kukiona pale mimba ya mkeo ikikaribia kujifungua (yaani miez 7 Hadi 9).

Hapa wanawake wengi sn (hasa WA mjini) wanachoka kabisa na kuhitaji kupumzika Mara Kwa Mara (wengine Hadi bedRest hospitali).

Katika kipind hiki, mwanaume unaweza ukapitisha miez 2 kavu kavu bila kupiga show.

2. Mkeo Akijifungua salama kabisa
Hapa Una zaidi ya Siku 40 mpk 60 huwezi kabisa kupiga show maana uchafu Bado chini unatoka , tumbo na nyonga havijatengamaa kuweza kumpelekea moto. Inakubidi uwe mpole.

3. Bahati mbaya Akijifungua Kwa kisu,
Hapa una almost miez 3-6 ya kukosa kabisa show kisa mshono wake Bado haujatengamaa.

4. Kipindi Cha kumnyonyesha,
Hapa Kitaalamu (Kwa mamalia wote duniani) anapokua ananyonyesha, Anapoteza kabisa hamu na hisia za kufanya mapenzi. Kipind hiki ata ufanye nae, Ni vile unakua umemfosi TU, automatically Hana kabisa Nyg na Wewe (hawezi kuperfom vizuri).

Sasa Binadamu (Mwanamke) Huwa anamnyonyesha Mtoto kuanzia umri 0 Hadi mwaka na nusu, wengine Hadi miaka miwili.

Jiulize sasa, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa mwaka na nusu, Hadi miaka miwili bila kupiga kabisa show?. Hapa Wakifika ata 10% Basi niite mbwa.

Hata wale wanawake wenye changamoto za kiafya, kiwango Chao Cha chini kabisa Cha kumnyonyeshe Mtoto Ni Hadi miezi 6.
Jiulize Tena, Ni wanaume wangapi wanaweza kukaa miez 6, kavu kavu hawajapiga show?. Aisee labda kwa walio jela.

Sasa Katika madhira yote tunayopitia, ndo kipindi hiki Wanaume wengi Huwa tunalaumu kua "mke wangu kahamishia mapenzi yote Kwa Mtoto".

Na ktk kipindi hiki,
Hata ulale na mkeo wako kitanda kimoja, lazima Mtoto wenu atawekwa katikati "maksudi" ili kukuwekea FENSI usipige show.

Kuna MDA uzalendo utakushinda,
Utavizia Mtoto wenu kalala usngz, utamvuta Mtoto kushoto ili ufosi upige ata kimoja Cha fasta.

Ile unaanza TU kumuandaa mkeo ili upige, Mtoto ataanza kulia, Basi Mtoto akishaanza kulia TU, mkeo akili yote inahama, na Wewe mwenyewe uwezi vumilia kuendelea kupiga show uku Mwanao anaangua kilio na YOWE mbele zenu.

Apo Kumtuliza Mtoto asiendelee kulia, Ni lazima apewe Nyonyo.

Sasa hapo itabd usubir mwanao anyonye Tena mpk apitiwe na usngz (almost saa nzima),

Au ufosi upige show uku Mwanao anaendelea kunyonya.
(Hapa inahitaji ujasili WA mzabzab kupiga show uku Mtoto anaendelea kunyonya)

Kitu ambacho wanaume wengi sn hatukiwezi, pia wanawake nao hawakipendi kabisa.

Sasa katika Hali Kama hii,
Mwanaume yeyote mwenye Afya njema, Utakua na mojawapo ya solution mbili hizi kwny madhira haya ya kwenye ndoa.

1. Uamue kupiga punyeto Kutuliza Nyg
Au
2. Utafute mchepuko pembeni awe anakupunguzia Nyg.

Nawasilisha🙏
Sema iyo ya Mtoto kulia inakata sana...na Mara nyingi lazima walie
 
Me mwezi siwezi kumaliza bila kunyumbulika. Wee!! Naanzaje Sasa Kwa mfano!
 
sisi waislamu tunaamini hakuna mwanaume anaetosheka na mke mmoja, na si kwa sababu za uzinzi la ila moja ya reason kubwa ni hii, ktk kipindi hiki mwanaume usipozini bas lazima utumie mkono.
Na ndio tukapewa ruhusa kutoka kwa mola wetu mjuzi wa kila jambo .
TUOE WAKE WAWILI, WATATU MPAKA WANNE KWA WENYE UWEZO NA ANAEWEZA UADILIFU LAU KAMA HUWEZI BASI JITAHIDI NA MKE MMOJA.
na kama tujuavyo mwenyezi mungu alivyo fundi, hivi viumbe anavyovitengeneza unakuta huyu mfupi kidogo afu KAJAZANA ,yule mrefu kajaza kidogo na huyu saizi ya kati na kaumbo mwanana bas nyie alooo mhhhh MAASHAALLAH
 
Watapinga tu lakini ukweli ulioandikwa na mleta mada haupingiki. Its hard, tough, difficult, laborious, arduous...vyote unavyojua!
 
Ilinikutaa,miezi 3 tayari nilisabanisha mimba kwa watu wawili tofauti,nilichokifanya nikawakataa wotee afu wote nilipiga mara Moja mojaa tu....mmjaa alinitishia kumwambia wife Dah! Mwisho akashauliwa atulie.
 
Mimi wangu aliwahi nipa mzigo baada ya mwezi 1 tu tena aliniambia anaogopa mimi kuchepuka...sasa nilikuwa namjali sana kiafya na nilikuwa naona kila kitu sasa kwa kile kinyaa niliogopa kupiga show maana nafikiria yale majimaji mara damu mara uchafu uchafu flan hivi aaagh nikamgomea.

Nikatafuta ka mchepuko ki sirisiri kwa miezi 4 mkupuo nilikuwa na simu ndogo nimesajiwa na muhuni mmoja hivi, kale ka simu nilikuwa nakaacha kazini...michepuko alikuwa na namba ile pekee sikuruhusu ajue zaidi kuhusu mimi kila maneno 10 9 yote ni UONGO.

WIfe alivyokaa sawa nikatafuta sababu nikaachana na yule PEPO 🤣🤣

Ulifeli kumuacha.
 
Back
Top Bottom