Ukitaka kujua ngozi nyeusi ni laana, mfuatilie refarii anayechezesha Taifa stars na Moroco

Ukitaka kujua ngozi nyeusi ni laana, mfuatilie refarii anayechezesha Taifa stars na Moroco

Nsanzagee

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
2,209
Reaction score
4,769
Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha

Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao

Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi

Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani

Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
 
images (4).jpeg
 
Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha

Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao

Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi

Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani

Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
We mwenzetu ni ngozi ya njano?
 
Mzee hapa Duniani Muogope Mungu then Waarabu then wazazi
 
Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha

Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao

Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi

Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani

Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
We mwenzetu ni ngozi ya njano?
 
Wachezaji wa Timu yetu ya Taifa ni wazee,Tujipange kutafuta vipaji halisi,Tanzania tunaweza sana sema siasa mingi mpaka kwenye mambo ya kizalendo]
 
Back
Top Bottom