Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Refarii atakuwa mwanachama wa CCM sio bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachezaji "CHADEMA" sindo maana yake?!Refarii atakuwa mwanachama wa CCM sio bure
Seems you are not serious. Forgot DP world?; ilikuwaje baada ya kilio ya watanzania kila kona? Mkataba ulisainiwa haukusainiwa?; Leo unamshangaa a mere referee? Tena wa west Africa?!Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha
Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao
Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi
Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
Yani uje utukane Waafrika na watu weusi kwa sababu ya jazba zako?Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Sipendi.We hupendi kulamba asali
Binafsi sijaona siasa kwenye mpira hasa haya mashindano.Wachezaji wa Timu yetu ya Taifa ni wazee,Tujipange kutafuta vipaji halisi,Tanzania tunaweza sana sema siasa mingi mpaka kwenye mambo ya kizalendo]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpira unaanzia uwanjani baada ya hapo inafuata hamasa ....kitu pekee duniani ambacho hakina shortcut ni mpira[emoji1787][emoji1787] sababu upo live dunia nzima wanaona......haya sio masanduku ya kula haya[emoji1787]
Huwezi ruka uwekezaji mzuri ukarukia hamasa halafu ufike unakotaka kwenda
huyu refa anaonyesha wazi kabisa hawapendi wabongo na hawapendi toka moyoni. tulimkosea nini?Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha
Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao
Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi
Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
Ilikuwa purple auIle sio red
Haikuwa Tanzania, ni ccm hiyo.Tz 0-Moroc 3
Utashangaa pia kwa nini viongozi wetu wanawapa waaarabu Hifadhi ya Ngorongoro wqjekujengea Hoteli na si ajabu kuna ubia kwa kuhamisha wamasai.Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha
Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao
Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi
Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
Ni red card halali kabisaIle sio red