Ukitaka Kujua ni Jinsi Gani na Kiasi Gani WaZanzibari Wanautaka na Kuufaidi Muungano

Wanasiasa wengi wa Tanzania ni mamluki. Hivyo siyo wa kuwaamini hata kidogo.
 
Wale wamezoea vijembe tu, sisi tukisema hatuutaki Muungano kwa sababu zetu zenye mashiko, wao watakuja na vijembe vyao walivyozoea, kusema tu ilimradi wasikike.

Wanajua fika, huu muungano wa hovyo ndio unawafanya wao waishi kwa raha huko visiwani, marupurupu na mafuta ya magari yenye vin'gora vinachangiwa na muungano, either direct or indirectly..

Ndio maana naungana nawe ulipoandika kelele wanazopiga ni sawa na kucheza sinema chovu, sizivutia kutazama machoni petu watanganyika.
 
👏
 
Muungano upo kwa nguvu ya Watanganyika. Kama wakiamuwa hawautaki utavunjika kirahisi. Wala sioni manufaa Tanganyika inayoyapata.
 
Hivi kama nilisikia vizuri, eti ni kuwa Samia katika Ikulu ya Chamwino ametoa nafasi kwa ofisi ya Rais wa Zanzibar kuwemo mule?
Au sijaelewa vizuri hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…