Ukitaka kujua serikali haijawahi kuwa serious na maendeleo ya kweli, Kabudi na michezo wapi na wapi?

Ukitaka kujua serikali haijawahi kuwa serious na maendeleo ya kweli, Kabudi na michezo wapi na wapi?

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
bongo tutailaumu mpka yesu anarudi
 
Ukitaka kujua Tanzania Viongozi hawana akili na wala hawajui maana ya maendeleo angalia walivyokurupuka kusema wanatengeneza Arena ya Events za Kimataifa na kubwa za Burudani baada ya kupata aibu ya tuzo za Trace kule Zanzibar wiki iliyopita wakati hili suala limeongelewa siku nyingi sana ila hawakuwa wanachukua hatua zozote.

Viongozi wetu hawajui hata maana ya vipengele vya msingi kwa maendeleo ya kweli ya Taifa letu kutokana na hatua za kimaendeleo ambazo dunia inapiga.
 
IMG_20250302_211306.jpg
 
Ukitaka kujua Tanzania Viongozi hawana akili na wala hawajui maana ya maendeleo angalia walivyokurupuka kusema wanatengeneza Arena ya Events za Kimataifa na kubwa za Burudani baada ya kupata aibu ya tuzo za Trace kule Zanzibar wiki iliyopita wakati hili suala limeongelewa siku nyingi sana ila hawakuwa wanachukua hatua zozote.

Viongozi wetu hawajui hata maana ya vipengele vya msingi kwa maendeleo ya kweli ya Taifa letu kutokana na hatua za kimaendeleo ambazo dunia inapiga.
Huwa mnadhani serikali ina hela za kuchota tu, acheni ucenge,bajeti yenyewe tunategemea wahisani na mikopo
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
Nchi hii ina laana kubwa sana! Machawa Kila Kona!
 
Umenikumbusha yule mbunge wa iringa jina limenitoka kidogo kipindi cha jk aliteuliwa kuwa waziri wa michezo. Sasa siku ya kumpokea samatta kwenye speech akawa anasema 'unajua tokea samata anacheza ndimu alikuwa mchezaji mzuri sana! Sasa watu pembeni wakawa wanamshtua mzee sio ndimu ni chandimu. Akaongezea halafu ule uwanja aliokuwa anachezea samata akiwa mdogo tutaurekebisha na kuuwekea nyasi za bandia, kumbe uwanja wenyewe haupo tena serikali imempa mwekezaji amejenga kiwanda.

Kwa kifupi ccm wana culture yao ya bora liende (incompetence culture) nchi ishawashinda sa iv inajiendea tu. Kwanza kulikuwa kuna haja ya kumteua mtu kama kabudi ilhali mtu kama mwanafa yupo?
 
Upo sahihi...
Ila tukija kwenye uhalisi, hii inamake sense?

Waziri asiyefahamu kuhusu wizara huoni ina kuwa rahisi kwa wajumbe na makatibu kutumia huo udhaifu na kuandaa bajeti ya kipigaji afu jumba bovu likamuangukia?
Michezo siyo mpira wa miguu tu, uwaziri ni utawala,siyo lazima waziri wa madini awe na shahada ya miamba,wa kilimo awe bwana shamba, acheni ujuaji wa kijuha
 
Andiko lako duuuu pasua kichwa!!

Kabudi mwenyewe ndio tatizo lenyewe, alitakiwa amwambie mkuu wa nchi nashukuru kwa heshima na kuniona nafaa kuwa kwenye baraza, ila kwa heshima na taadhima,sitaweza naomba umteue mtu mwingine.

Sio kila teuzi na mteuliwa lazima akubali.

Tatizo ni kabudi mwenyewe aliyekubali na anayekubali KUCHEZESHWA SINGELI 😅😅😅
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
Kwa hiyo Kapundi anafaa wapi sasa?
 
Nadhani ni namnantuu ya kumrudisha katika mfumo...kama kutatokea kuwa na reshaffle ya Administration basi tegemea kumuona ktk nafai zenye ushawisbi katika utawala huu
 
Andiko lako duuuu pasua kichwa!!

Kabudi mwenyewe ndio tatizo lenyewe, alitakiwa amwambie mkuu wa nchi nashukuru kwa heshima na kuniona nafaa kuwa kwenye baraza, ila kwa heshima na taadhima,sitaweza naomba umteue mtu mwingine.

Sio kila teuzi na mteuliwa lazima akubali.

Tatizo ni kabudi mwenyewe aliyekubali na anayekubali KUCHEZESHWA SINGELI 😅😅😅
"Mheshimiwa Mungu" anachojali ni pesa na cheo. Hata apewe wizara ya wanawake na watoto kwake ni feya dili.
 
siku anaapiswa mama alimwambia kabudi akatumie taaluma yake ya uandishi wa habari na unguli wake wa Sheria kwenye wizara ila amepewa naibu waziri msanii ili naibu waziri akamsaidie kwenye michezo na Sanaa ambae naibu waziri ni mwana F.A ,
 
Tatizo langu, nchi yenye watu milioni 60, tunatawaliwa na watu wale walewale miaka yote, utadhani sisi wengine waliisha tupima wakakuta tuna matatizo ya akili.

Yani hata rais akitangaza baraza jipya kesho utakuta ni wale wale, ila wizara tofauti.

Tatizo ni nini wadanganyika wenzangu.?
 
Ukitaka kujua Tanzania Viongozi hawana akili na wala hawajui maana ya maendeleo angalia walivyokurupuka kusema wanatengeneza Arena ya Events za Kimataifa na kubwa za Burudani baada ya kupata aibu ya tuzo za Trace kule Zanzibar wiki iliyopita wakati hili suala limeongelewa siku nyingi sana ila hawakuwa wanachukua hatua zozote.

Viongozi wetu hawajui hata maana ya vipengele vya msingi kwa maendeleo ya kweli ya Taifa letu kutokana na hatua za kimaendeleo ambazo dunia inapiga.
Full mizinguo
 
Back
Top Bottom