NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 302
- 333
Kwa hiyo chura kiziwi ni mtaalamu wa nini?Wewe ni mpumbavu, waziri ni muwakilishi wa rais,kwa hoja yako rais anapaswa kujua michezo,fedha,uchumi,afya,kilimo, biashara,madini,nishati nk..wizarani kuna wataalam wengi