Ukitaka kujua serikali haijawahi kuwa serious na maendeleo ya kweli, Kabudi na michezo wapi na wapi?

Ukitaka kujua serikali haijawahi kuwa serious na maendeleo ya kweli, Kabudi na michezo wapi na wapi?

Michezo siyo mpira wa miguu tu, uwaziri ni utawala,siyo lazima waziri wa madini awe na shahada ya miamba,wa kilimo awe bwana shamba, acheni ujuaji wa kijuha
Hii huwa ni hoja ya kijinga ambayo huwa inatolewa na maccm ili kufunika upumbavu wao.

Waziri ndiye msimamozi na mshauri mkuu wa rais kuhusiana na masuala ya sekta ya wizara yake. Sasa kama hajui chochote atashauri nini? Pumbafu!

Huoni kwa akina Trump, DOGE iko chini ya mtu mwenye akili Elon Musk?
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
1741057300570.png
 
Na Kuna yule mwingine wa kuitwa silaa. Mbona alikua anaenda poa na beat? Ilikuwaje akabadilishiwa wizara?
Huko aliko wala hasikiki tena, yaani ni bora liende.
Muulize mwana FA tangu awe waziri wa michezo kafanya nini na zile kamati zake za akina Mwijaku na joti kwe da kula bata AFCON huko IVORY COST


Hii nchi wanasiasa wapo kwa maslahi yao shida sio lazima waziri awe mcheza soka maana hapo wizarani kuna makatibu na watendaji wakiobobea kwenye hayo masuala

Tumshangae mleta uzi anauliza swali la kitoto
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
Sasa jenista mhagama kapewa afya ila ukicheki cv yake utakuta ni mwalimu
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
 

Attachments

  • 1728759764686.jpg
    1728759764686.jpg
    154.8 KB · Views: 2
  • images (13) (1)~2.jpeg
    images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 1
  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
Serikali yeyeto ni zao la jamii husika na jamii ujengwa na malezi, waafrika ndo watu wenye malezi ya hovyo kuliko species zote wazazi hawana elimu ya malezi wanawalea watoto utadhani mifugo.
Nyumbani panatakiwa pawe chuo cha kuzalisha intelligence people na sio zizi la kufuga wanyama
 
Kikubwa maokoto tu🤣,,,Heshima ni kumiliki mawe sikuhizi sio kubeba cheo kisicho na maslahi. Kabudi kaamua kujimix ila faida wanaipata mke na watoto wake nyumbani nyie wengine endeleeni kumuona ni chizi.

Mwijaku anatengeneza hela nyingi kuliko PHD Holder aliyeko chuo cha UDSM pale. Japo Mwijaku anaonekana mwendawazimu ila yake yanamuendea.
 
Ukienda katika serikali zilizo serious na zinazotaka maendeleo ya kweli, Taasisi ya Rais zinakuwa makini sana katika kuteua watu makini, Wenye Ujuzi, Uzoefu na Weledi katika kada husika.

Ukienda Marekani pale katika wizara zake, Kiongozi mkuu wa wizara lazima awe mtu competent katika kada husika. Utamkuta Howard Lutnik ambaye ni Nguli katika masuala ya Biashara na ndiye kakabidhiwa Wizara ya Biashara, Vivyo hivyo kwa viongozi wakuu wa wizara zingine ambao huteuliwa na kupitishwa na Senate.

Exceptional zipo kulingana na uhitaji wa sekta husika, na mahitaji ya Kiongozi mkuu wa sekta husika, Ila kwa kiasi kikubwa, Competency huzingatiwa na si Uchawa kupewa kipaumbele.
Usikariri, ujue kwanza majukumu ya waziri. Ulitaka Lunyamila akawe waziri?
 
Nadhani ni namnantuu ya kumrudisha katika mfumo...kama kutatokea kuwa na reshaffle ya Administration basi tegemea kumuona ktk nafai zenye ushawisbi katika utawala huu
Kwa hiyo yupo pale kwa sababu ya "namna tu ya kumrudisha katika mfumo"? Si kwa lengo la kuinua na kuendeleza sekta ya michezo?
 
Muulize mwana FA tangu awe waziri wa michezo kafanya nini na zile kamati zake za akina Mwijaku na joti kwe da kula bata AFCON huko IVORY COST


Hii nchi wanasiasa wapo kwa maslahi yao shida sio lazima waziri awe mcheza soka maana hapo wizarani kuna makatibu na watendaji wakiobobea kwenye hayo masuala

Tumshangae mleta uzi anauliza swali la kitoto
Hao waliobobea kwenye hayo masuala ndiyo walipaswa kuwa viongozi wakuu, Umeshawahi kuona Secretary of Defence USA asiwe na background ya Army?
 
Hata hair mnaowaita viongozi hawakuchguliwa wala hawachaguliki wanawaza kula
 

Attachments

  • PESA YA MAGOLI YA MAMA, KUMBE NI SIASA! WACHOKONOZI..mp4
    73.3 MB
Back
Top Bottom