NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 302
- 333
Kwa hiyo chura kiziwi ni mtaalamu wa nini?Wewe ni mpumbavu, waziri ni muwakilishi wa rais,kwa hoja yako rais anapaswa kujua michezo,fedha,uchumi,afya,kilimo, biashara,madini,nishati nk..wizarani kuna wataalam wengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo nyie vijana mna papara sana: nilimpa February uwaziri wa kule nje badala ya kunipigia promo, yeye akataka na kiti changu.Tatizo langu, nchi yenye watu milioni 60, tunatawaliwa na watu wale walewale miaka yote, utadhani sisi wengine waliisha tupima wakakuta tuna matatizo ya akili.
Yani hata rais akitangaza baraza jipya kesho utakuta ni wale wale, ila wizara tofauti.
Tatizo ni nini wadanganyika wenzangu.?
Unanadi ujinga na jinsi walimu wako walivyopata shida kukueleweshaKwa hiyo chura kiziwi ni mtaalamu wa nini?
Hilo ndo kosa kumpa mtu kuongoza asichokuwa na weledi nacho.Michezo siyo mpira wa miguu tu, uwaziri ni utawala,siyo lazima waziri wa madini awe na shahada ya miamba,wa kilimo awe bwana shamba, acheni ujuaji wa kijuha
Uwaziri ni utawala) uongozi si utaalam,Hilo ndo kosa kumpa mtu kuongoza asichokuwa na weledi nacho.
Mbn mnatenganisha utawala na ujuzi,weledi?
Kha! Uchawa ukienea kichwani wawezamwambia baba yako we huna babaUwaziri ni utawala) uongozi si utaalam,
Basi dmo akawe afisa elimu au mganga mfawidhi awe mkuu wa shule!.Uwaziri ni utawala) uongozi si utaalam,
Sasa waziri wa michezo awe mtaalam wa michezo,michezo gani?..riadha,kuogelea,kikapu,kandanda, netball, hockey,kurusha tufe!?..chuo gani kinatoa kozi ya kufundisha michezo yote?Kha! Uchawa ukienea kichwani wawezamwambia baba yako we huna baba
Tumia kichwa chako vizuriBasi dmo akawe afisa elimu au mganga mfawidhi awe mkuu wa shule!.
Tusizoee shida na makosa , tujitahidi kuficha aibu ndogondogo kama hizi
Kuna wataalamu waliosomea utawala wa michezo. "Sports management " hii ni taaluma .Sasa waziri wa michezo awe mtaalam wa michezo,michezo gani?..riadha,kuogelea,kikapu,kandanda, netball, hockey,kurusha tufe!?..chuo gani kinatoa kozi ya kufundisha michezo yote?
We ndo utumie kichwa kwa kazi yake siyo kuwa mfuniko wa shingoTumia kichwa chako vizuri
We unafikiri wizara ni sehemu ya kila mtu kuteuliwa kukalia!?..sports management kasomea tennis, kandanda,kikapu,riadha, hockey, kurusha tufe, kuogelea,mieleka,mishale nk?..Kuna wataalamu waliosomea utawala wa michezo. "Sports management " hii ni taaluma .
Tusijifanye kuzoa makosa hii ndo sababu Baraza Lile Lile kutawala miaka 20 kwa kupumzishwa na kurejeshwa maona sawa.
Haya jiandae kumpongeza makamba na nape
Ungejipa hata dk 1 kujua sports management ni nn ungejifunza kdogo. Kumbe weledi siyo kigezo bali mjuano! Weledi wa kitu unachoenda kusimamia kwanza Kisha sofa zngne akikosa tunaendelea tuna taifa ukubwa.We unafikiri wizara ni sehemu ya kila mtu kuteuliwa kukalia!?..sports management kasomea tennis, kandanda,kikapu,riadha, hockey, kurusha tufe, kuogelea,mieleka,mishale nk?..
Baadala ya kufanya kama mataliban tunaishi kubwabwaja tuu hapa jfbongo tutailaumu mpka yesu anarudi
Stephanie Peacock - WikipediaUngejipa hata dk 1 kujua sports management ni nn ungejifunza kdogo. Kumbe weledi siyo kigezo bali mjuano! Weledi wa kitu unachoenda kusimamia kwanza Kisha sofa zngne akikosa tunaendelea tuna taifa ukubwa.
Trump "kafuta" sheria ziliwepitishwa. na mtangulizi mfanye?
Daniel Zeichner - WikipediaUngejipa hata dk 1 kujua sports management ni nn ungejifunza kdogo. Kumbe weledi siyo kigezo bali mjuano! Weledi wa kitu unachoenda kusimamia kwanza Kisha sofa zngne akikosa tunaendelea tuna taifa ukubwa.