Ukitaka kujua umepata mwenza ama umepatikana fanya hivi

Ukitaka kujua umepata mwenza ama umepatikana fanya hivi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mwambie :-

1. Umepata kansa au kisukari au ukimwi.....ukiona anaanza kukukwepa vunja uchumba haraka sana.

2. Mwambie umepoteza kazi au biashara yako imekufa. Hata Kama anaijua biashara yako ilipo mpige saundi kwamba imechukuliwa na inaendeshwa na waliochukua. Ukiona anapoozesha mapenzi vunja uchumba

3. Mkorofishe au fanya igizo la kosa la wazi kabisa. Ukiona anafura mithili ya kifutu na Hana moyo wa kusamehe. Achana naye tafuta mwingine

Yametosha. Haunilipi
 
Mwambie :-

1. Umepata kansa au kisukari au ukimwi.....ukiona anaanza kukukwepa vunja uchumba haraka sana.

2. Mwambie umepoteza kazi au biashara yako imekufa. Hata Kama anaijua biashara yako ilipo mpige saundi kwamba imechukuliwa na inaendeshwa na waliochukua. Ukiona anapoozesha mapenzi vunja uchumba

3. Mkorofishe au fanya igizo la kosa la wazi kabisa. Ukiona anafura mithili ya kifutu na Hana moyo wa kusamehe. Achana naye tafuta mwingine

Yametosha. Haunilipi
Unatafuta malaika mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwambie :-

1. Umepata kansa au kisukari au ukimwi.....ukiona anaanza kukukwepa vunja uchumba haraka sana.

2. Mwambie umepoteza kazi au biashara yako imekufa. Hata Kama anaijua biashara yako ilipo mpige saundi kwamba imechukuliwa na inaendeshwa na waliochukua. Ukiona anapoozesha mapenzi vunja uchumba

3. Mkorofishe au fanya igizo la kosa la wazi kabisa. Ukiona anafura mithili ya kifutu na Hana moyo wa kusamehe. Achana naye tafuta mwingine

Yametosha. Haunilipi
Hujui ulichokiandika.
 
Yaani nimchokonoe mpenzi wangu kwa makusudi ili nigundue nini?? Na ilivyo kazi kupata mtu wa kuendana nae aka mwenzangu sifanyi hiyo biashara. Sumu haionjwi kwa mdomo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nabii Issa alitusisitiza tusimjaribu mungu

Can you imagine binadamu mwenzako?
 
Unatumia vipimo vya mwaka wa 47 dunia ya sasa ata mimi kma baba staki binti yangu apendwe na mwanaume kapuku yani nina mtoto pisi et kapendwa na hoehae jivivu lisilo na mbele wala nyuma., mkuu hyo haipo .
 
Back
Top Bottom