Ukitaka kujua umepata mwenza ama umepatikana fanya hivi

Ukitaka kujua umepata mwenza ama umepatikana fanya hivi

Ilivyokuwa mbinde kupata mtu nowadays untafute, umeone, upate mazingira ya kuomba namba, ajibu text zako, uanze kumpetipeti, akuombe hela mpaka unafika hatua munakuwa stable Hustling then uje uvunje penzi kijinga uanze tena mchakato 🤣🤣
 
Back
Top Bottom