Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Kuwa committed ukwamishe deal la wenzio 10 tu uone kama kibarua hakijaota nyasi😅Ndiyo maana hatutakaa hata siku moja Afrika tuwe na maendeleo. Wenzetu weupe wapo very commited iwe ni private au ni serikalini.
mkuu umeongea jambo la msingi sana, mfumo wetu wa malezi una kasoro, zipo tabia ambazo ni matokeo ya makuzi tuliyopitia tungali wadogo, Leo tunaziona familia za Wahindi hazitetereki kiuchumi kwasababu Wazazi wao huwashirikisha watoto katika kutafuta mali toka wangali wadogo, tunaona miji ya wenzetu ikiwa misafi hata majengo ya miaka mingi yanadumu ni kwasababu ya malezi na ustaarabu waliokuwa nao toka wakiwa wadogo.Mleta mada hajamaanisha kua watu wasiende lunch, amemaanisha muda wa lunch watu wanakua wanaufuatilia zaidi na kua nao serious kuliko muda wao wa kufanya kazi.
Hajasema kua watu wasiende lunch, ila kama na muda wa kazi wangekua nao wanauchukulia serious kama wanavyouchukulia serious muda wa lunch isingekua tatizo.
Binafsi naona hii issue ya uvivu na kutokuwajibika ni issue ya kimalezi toka utotoni, kubadili hii tabia inabidi wazazi waanze kuwafundisha watoto wao toka utotoni,ila kumbadili mtu mzima tabia sio issue ndogo.
Nakubaliana na wewe kuhusu wabunge. Maoni yangu ilikuwa ni kulitazama suala zima kwa mtazamo mpana zaidi ya mishahara na posho za wabunge. Hoja mezani ni attitude ya wabongo kwenye kazi.Kwa hiyo mishahara inapangwa kwa %? Unajua hiyo zaidi ya milioni 300 wanayolipwa kila miaka mitano ni asilimia ngapi ya budget kwa mwaka huo? Na kazi ipi ya maana wanayoifanya kwa kukutana miezi mitatu kila mwaka hadi wastahili mishahara na marupurupu manono kiasi hicho!?
Na kwanini pamoja na mishahara mikubwa sana na marupurupu manono hawakatwi kodi?
Nakubaliana na wewe kuhusu wabunge. Maoni yangu ilikuwa ni kulitazama suala zima kwa mtazamo mpana zaidi ya mishahara na posho za wabunge. Hoja mezani ni attitude ya wabongo kwenye kazi.
duh,hapo ndio uwezo wangu niliokua nao,angalau wengi walikua wanatumia simu zao;Maelezo yako yangekamilika kama ivi ningekuelewa! hata hivyo, unampa mtu soft copy aende akasomee kwenye computer yake na wakati unafaham wengi hawana.
Anyways, its ok.
Mkuu lipa watu mpunga wakalipie bill zao, maneno mengi hayawezi kulipa bill ya umeme......wewe unapima mshahara, ukipimiwa kazi una panic...Soma tena nilichokiandika ili uelewe,mfano wako na nilichokiandika mimi ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mnyalukoro umugaya luhala kweli hahahahaahhaha...sikuyumba mkuu.Ndo ulikuwa muda wako wa kula tunda kimasihara mkuu, i hope hukuyumba kwenye hilo!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ava amsoneke mwana va vene... mwafu huyo!!!Mnyalukoro umugaya luhala kweli hahahahaahhaha...sikuyumba mkuu.
Yeah mkuu ipo haja ya kubadilisha mfumo coz watu wanafanya vitu kimazoea tuuSabotage
Wamechoka kufanya kazi na mfumo uliopo
Babu zao ,baba zao ,wanao
hiyo ni ishara wanahtaji mfumo mpya uwaongozi haiwezekani MTU anayekusanya kodi achati na simu ofisini wanachati nn kwasababu cm za ofisi zipo
Madereva huku barabarani wakithubutu chamoto wanakipata
Hata hao watengenezewe sheria upya akithubutu apigwe faini
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
For sure ..afu watu kama Hawa wakija kustaafu wakipewa kile kiinua mgongo wanaanza kufanya mambo Kwa pupa Kwakua katika maisha yake hakuwahi kupokea pesa kama hiyo hapo Kabla ... [emoji23][emoji23][emoji23]... Exposure ni muhimu sana adseKwa mawazo hayo kijana kama huyo hawezi kuwa na saving account wala wazo la kufungua biashara yake. Ataishia kuajiriwa na kutegemea mshahara peke yake. So sad..
Wagongwe faini au vyote kwapamoja akikutwa afukuzweYeah mkuu ipo haja ya kubadilisha mfumo coz watu wanafanya vitu kimazoea tuu
Haswaa!! Wanafunzi unapowapa notes wengi wao hung'ang'ana kuzikariri hizo hizo tu kwa ajiri ya kujibia mitihani tu, lakini kupitia vitabu angalau mtu unapata uelewa mpana zaidi kuhusiana na mada fulani.nimekosea kutowapa notes nikawapa vitabu?,
notes walikua wanapewa soft copy,mimi sikutoa ila nilikua natoa vitabu soft copy,nimekosea wapi?,
sikuwahi kuagiza mtu yoyote aende libarary maana vitabu nilikua navyo;
kumpa mwanafunzi wa chuo PowerPoint si jambo jema,wengi wanasoma juu juu tu,ila vitabu vinasaidia kuliko PowerPoint;
niko nje huku,PowerPoint sio za muhimu,kikubwa ni vitabu;
nadhani nimekujibu vema;
Ivi wewe unaweza kusoma kupitia smart phone Kijitabu cha Advance Accounting? kabisa, yan unasoma kama unavyosoma novel!?Katika ulimwengu wa leo ambao unapata soft copies za vitabu online, kuna Youtube na takataka kibao mtandaoni. Vyuo labda vya chini ya diploma lakini kuanzia degree ni wanafunzi wachache huwa hawana smartphones au Laptop, na wachache wasio na laptop usishangae wanaazima kipindi cha kutype kazi au kuangalia movies
Hizo sababu ulizotoa zimekaa kihurumahuruma sana na wakati mimi najua fika ukitoka shule za kata. Unakuwa hustler maana hujazoea spoon feeding, watu 20 wamefaulu kati ya wanafunzi 400 af waje kushindwa kujiongeza chuoni. NEVER
Ivi wewe unaweza kusoma kupitia smart phone Kijitabu cha Advance Accounting? kabisa, yan unasoma kama unavyosoma novel!?
Tuwage siriasi jaman! ndio mana ile ikaitwa simu! kila kifaa kina umuhim wake na matumizi yake! Simu unaishia kusoma novel tu na sio vitu kama accounts, maths etc.
Hili tatizo lipo huyu alieleta mada hii ninahakiki amefanya kautafiti kidogo anajua alichoandika ww kama unaleta ushabiki sawa hata huku mtaani kwenye vibarua vidogovidogo tunayaona watu wanataka hela sio kazHuwezi lazimisha mtu kufanya kazi kwa matakwa yako binafsi au Kuwa bull ukategemea efficiency kwenye kazi isipokuwa unategeneza kundi la wanafiki na kujipendekeza katik sehemu husika.
Kazi zote zinataratibu na sheria zake katika kila NCHI husika ndio maana viongozi wote kazi yao kubwa ni kuwa-inspire na kuimpliment strategy kwa wale anaowaongoza ili kupata matokeo bora ya kazi zao.
Unaposema zamani watu walikuwa wanafanya kazi sio kweli walikuwa wanafanya kazi kikuda na ndio hatari zaidi ukiona wanamefika stage hiyo.