KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

KERO Ukitaka kukata tiketi SGR unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

innoxenti

New Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
1
Reaction score
33
Kweni Abiria wote wataondokea Central Station?! Si wengine wamebuku wanapandia kwenye Vituo hata Pugu.

Labda ungesema waongeze Mabehewa au hata safari ziongezwe.

Lakini watu wanaotuhumu kuwa ni Makampuni ya Mabasi ndio yanahujumu mimi naona ni UFINYU wa FIKRA.
 
Back
Top Bottom