concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Na hili mkalitazameMwendazake alikuwa hana masihara kwa wajinga na wazembe ambao wanafelisha mipango yake.
Si huyu Bi.Mkubwa utasikia....mkalifanyie kazi hili......"
Pale Magufuli kuna baadhi ya mabasi huondoka huku viti kadhaa vikiwa wazi, na wakati huo wahusika huwa wanasema mabasi yamejaa.Ukitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.
Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
huu mfumo wa ticket una changamoto kwanza sio user frendly unakuwa kama unaomba visa ya marekani, bora watumie mfumo wa mabus wa latraMfumo wao ndio unahujumiwa, na wanalojua hilo.
Mimi juzi nilikuwa nakata tiketi ya kuondoka kesho. Mfumo ulionyesha mabehewa yapo na nikapata mpaka namba ya kiti. Lakini hatua ya mwisho ilikuwa haifanyi kazi kabisa. Wanafanya makusudi hao.
Kuna kipindi walifanya hivyo hivyo tulipofika stesheni walituingiza kwenye tren bila tiketi, na tulipoingia ndani tulikatiwa humo ndani kwa vi device vya mkononi.
Na ndo mwanzo ,kama serikali haitakuja na sheria kali tumekwishaUkitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.
Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
Sasa wanataka nini Hawa watu.Ukitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.
Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
Kama wanalipa poa tuuWanafanya booking bila kulipia au?
Wanausalama wenyewe wanaunga mkono juhudi,hawana lolote,kama ni watu mbona Longido na maeneo ya gesiviliuzwa na Loliondo.l walinyamaza hawana kitu ni shida tupu,na hapo bado hata hazijaanza kuchakaa,watachafua uxhafu kila Kona hatimae shirika liwe kituko kwa wageni.Nchi hii ina shida.Hiyo ni hujuma.Wanausalama wa nchi wawekwe huko kuangalia wazandiki.
Ila wenye mabasi haturudi huko,tukiimarisha uchumi tutaenda safari kwa level nyingineKisha anaye nunua jumla naye anaacha kununua.
CC: Fundi Mchundo
Unaelewa maana ya bookingKama wanafanya booking hakuna shida.maana wanakuwa wamelipa
Pugu hakuna watu wengo wa kuleta effect ya kuonekana kwa machoKweni Abiria wote wataondokea Central Station?! Si wengine wamebuku wanapandia kwenye Vituo hata Pugu.
Labda ungesema waongeze Mabehewa au hata safari ziongezwe.
Lakini watu wanaotuhumu kuwa ni Makampuni ya Mabasi ndio yanahujumu mimi naona ni UFINYU wa FIKRA.
Vituo viko vingapi hadi Morogoro?!Pugu hakuna watu wengo wa kuleta effect ya kuonekana kwa macho
Hawana uwezo wa kununua ticket zote hizo kwa siku 3 au 4, weww kata ticket yako kwa siku siku 3 au4 kabla, shida nini?Ukitaka kukata ticketi unaambiwa treni imejaa, muda wa kuondoka treni inakuwa wazi mabehewa hayana watu kumbe kuna hujuma ya watu wa mabasi, wanafanya booking na hawasafiri. Serikari iangalie hili swala kwa upana.
Pia, Soma=> Online booking SGR haifanyi kazi, nifanyaje?
postaHiyo "tereni" ikitoka Daslamu kituo cha kwanza kusimama huwa ni wapi?