concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
Hii SI kweli hata kidogo
Ila nilichogundua hasta ni upande wa treni ya dodoma
Kuna watu unakuta amekata ticket ila safari inaanzia morogoro au vituo vya kati Sasa ukienda kwenye mfumo kuchagua ticket ya dar-dom inakataa lakin ukiachagua dar-moro ukakuta siti ziko wazi
Ila nilichogundua hasta ni upande wa treni ya dodoma
Kuna watu unakuta amekata ticket ila safari inaanzia morogoro au vituo vya kati Sasa ukienda kwenye mfumo kuchagua ticket ya dar-dom inakataa lakin ukiachagua dar-moro ukakuta siti ziko wazi