Ukitaka kumuona shetani 'live' funga ndoa

Umepiga kwenye mshonooo..!!!
 
Mimi ningekua mkristo nisinge oa kabisa, ndoa ya kikuristo ina kufanya mwanaumme kua mtumwa wa Mwanamke af uko gerezani hutoki umefungwa wa kifungo cha maisha, wanawake wenyewe ni know much loh!!!
 
Shetani Hayupo.

Ubinafsi,Tamaa, mipango mibovu, ujinga n.k ndio vyanzo vya matatizo mengi ndoani.

Chanzo cha matatizo kwenye ndoa ni wanandoa wenyewe na tabia zao.

Shetani ni Fictional character anayetumiwa kama kichaka cha kukwepa uhalisia wa Tabia mbovu za wanandoa kiujumla.
 
Kwa kifupi changamoto zinazo jitokeza baada ndoa ndio mtoa mada amezipa jina shetani.... Ile milima na mabonde wanandoa wanayo pitia ndo hivyo...

Kiualisia alicho sema kipo na mimi ni shaidi mbichi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…