permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Pia anaweza kuongezea kwa kuelezea mdingi kayafanyia nini hadi leo.Samahani lakini mkuu. Je, baba yako mzazi alimpenda mama yako mzazi sababu ya makalio makubwa ndio maana ukazaliwa wewe mwenye akili?
Niliwahi kusikia wenye nyashi kubwa wanazaa watoto wenye akili kwa kua kabla ya kuzaliwa mtoto anapata uwanda mkubwa wa kuzurura tofauti na hawa kina putin wenye piston moja.Kuna uzi nimeona umeeleza ulikua bright darasani na ni engineer kuliyefungia vyeti kabatini. Hebu tueleze uhusiano ulioko kati ya big nyash na akili, naamini itasaidia wengi.
Kutoka unaelewa maana yake kutoka njoo basi baby girl upwiru umekamata ngiriMithali 19:14 Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa BWANA.
Mkuu tupe connection, upate naibu baba!namba nane with big nyashi. Asante.
Umemaliza upo sahihi mademu wembamba wote niliowahi kutoka nao asilimia kubwa vimbumbu vyao ni swafi maana mapaja hayabanani achilia mbali hao bitches wembamba wao kutoa harufu Sawa Ile nyie mademu wanene wanasmell "kisamaki changu sio ngisi sjui visangalaNikuambie kitu?
Flat screen ndio wife material.
Ukizima taa utanielewa. Wepesi, wanajituma, sio wavivu, wanaongea Sana na Ni wasafi wa mwili.
unawezaje kupigania katiba mpya kama huna utulivu wa akili na mwili? Unadhani unaweza kuupata wapi huo utulivu wa akili na mwili? Ukiwa na mke mzuri,mrembo mwenye shepu na big nyashi anakupenda na kukujali unapata utulivu wa akili na mwili pia ukija kupigania katiba mpya unatoa hoja zenye kueleweka. Just imagine mkeo mbaya hana mvuto i mean a curved body with big nyashi hakupendi wala hakujali kwasababu hukusoma hii thread ili ikusaidie kufanya maamuzi sahihi utaweza kweli kujenga hoja wewe?Hizi ndizo akili za vijana wanaotarajiwa kupigania katiba mpya ya Tanzania
Ulijuaje mkuu? Toa pande tumsaidie majumu babababa angu anamtosha.
ni kweli, lakini kuna baadhi ya vitu kama hivi ni vya muhimu kuvizingatia just imagine umetoka kazini unafungua mlango unamuona a very beautiful woman with a killer smile, a curved body with big nyashi laying on a sofa halafu mtoto anakuuliza baby utakula baada ya kula au utakula kabla ya kula.Ndoa ni zaidi ya makalio na uzuri wa mwili.
Unafikiri kila siku itakuwa hivyo?ni kweli, lakini kuna baadhi ya vitu kama hivi ni vya muhimu kuvizingatia just imagine umetoka kazini unafungua mlango unamuona a very beautiful woman with a killer smile, a curved body with big nyashi laying on a sofa halafu mtoto anakuuliza baby utakula baada ya kula au utakula kabla ya kula.
sipingani na wewe but big nyashi with a curved body u have to put them into your considerations beside all those so called tabia nzuri,uchamungu and so many other factors.Unafikiri kila siku itakuwa hivyo?
Hukuwahi kuona mwanamke anazaa zile chuchu saa 5 zinalala, lile kalio linaisha anakuwa tipwa shapeless.
Kuna sifa nyingi na sababu za kuoa moja wapo ni uzuri, lakini sio kwamba nyashi na curved body ndio iwe priority, utachepuka tu baadae na utaanza kuona wa kawaida.
Mkuu huuuu si utani wa ngumi bali ni utani wa mieleka kabisa
Mkuu, Wanasema uzuri wa mwanamke sio urembo, ni tabia.Mkuu huuuu si utani wa ngumi bali ni utani wa mieleka kabisa
Ni msemo wa kujifariji wala hauna uhalisia.Mkuu, Wanasema uzuri wa mwanamke sio urembo, ni tabia.