Umezaliwa afumbili na ngapi vile?!🤔1.Wanawake wembamba wana roho mbaya.
2.Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.
3.Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.
4.Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana
5.Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.
6.Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.
Pole yenu vimbau mbau.
He was an Engineer, I am an Architect, huoni delegation ya majukumu kijana wetu? Nipigie pandea curved woman with big nyashi unadhani utampata mtu lofa kama wewe? My dad was an engineer with maokoto and that so called status. Muache mshuwa afaidi uumbaji wa m/mungu.
nimeuona honey but sijali coz nakupenda jinsi ulivyo!Oooh my husband to be asione huu uzi,, mbona nimekwisha 😔
unge bold ingependeza zaidi,, ujue humu kuna wengine wana shida ya macho diha😌nimeuona honey but sijali coz nakupenda jinsi ulivyo!
Sema ndio chaguo lako ila hizo sifa yeyote flat au mwenye nyashi yake anaweza kuwa nazo.Nikuambie kitu?
Flat screen ndio wife material.
Ukizima taa utanielewa. Wepesi, wanajituma, sio wavivu, wanaongea Sana na Ni wasafi wa mwili.
Fika uzeeni sisi na hivi vyembemba tunakula kilomita kadhaa kwa kutembea hatuwazi na vita ikitokea tunavibeba1.Wanawake wembamba wana roho mbaya.
2.Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.
3.Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.
4.Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana
5.Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.
6.Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.
Pole yenu vimbau mbau.
Mbona kuisha ulishaisha kitambo, mleta mada anakumbushia tu 😂Oooh my husband to be asione huu uzi,, mbona nimekwisha 😔
Inahusianeje? ukweli lazima usemwe buana vimisi gubu limewajaaSamahani lakini mkuu. Je, baba yako mzazi alimpenda mama yako mzazi sababu ya makalio makubwa ndio maana ukazaliwa wewe mwenye akili?
Ujana bhana....1. Wanawake wembamba wana roho mbaya.
2. Wanawake wembamba hawajiamini especially unapotembea nae na mkapishana na mwanamke mwenye shepu na mitako ya haja.
3. Wanawake wenye makalio wanazaaga watoto wenye akili.
4. Wanawake wenye shepu na mitako ya haja wanajiamini sana
5. Marafiki zako wa karibu watakuheshimu sana na kukuheshimu kama mademu zao hawana big nyashi.
6. Ukioa demu mwenye big nyashi utakuwa maarufu coz kila mtu atamuongelea mkeo na itafanya kila kitu kiwe chepesi kwa upande wako.
Pole yenu vimbau mbau.
Kesho ataandika natafuta mke wa kuoa wakati mchambuzi mzuri tu wa hopelessness 🤣bado una akili za kitoto
Huwa navutiwa sana jina lako la ki-JFbado una akili za kitoto
Hatari sanaNdoa ni Kwa Wanaume wenye akili timamu tu...Narudia timamu tu...
Kuna mwenzenu huko kamnyonga mke wake hadi kumuua usiku wamelala....Unaweza kuwa na mtu ndani kumbe ana shida ya afya ya akili..