Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Mkuu tupo pamoja, hata Mimi nilielewa hoja yako ,kua Humu JF Mada ya kijinga inapata wafuatiliaji wengi.

Ila lazima tukubali ukweli wa interests za Mtu Mmoja mmoja.


Kuna watu humu Kila siku lazima wasome mahadithi mengi ya JF na wanasoma na kumaliza.

Mimi Huwa nikisoma kidogo naacha ,narudi zangu kwenye kula tunda kimasihara.


Huyo alotumia muda wake kwenye mahadithi sio mjinga, na huyu anayotumia muda wake kimasihara sio mjinga.

Ndio maana mule ndan kimasihara, unakuta Kuna watu wa Kila aina , hao hao watu wa Kila aina ,nao wakiwa nje ya Uzi ule, wanakua na machaguzi Sasa, wapi waandike, wapi wasiandike ,wapi waseme, wapi wasiseme !!.
Ni kweli bro. Shida labda nimefikisha ujumbe wa hasira sana. Ila ndio uhalisia, tukisema tuanze kufanya comparison mada za ajabu ndio zina michango mingi.

Ndio maana nikasema ujinga mi mwingi kwakuwa unajidhihirisha.
 
Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.
Teh teh teh 😂😂😂 kazi kweli kweli...
 
Mi Twitter sahiv siwez kuifungua hadharan nawasiwasi nayo kichizi yaani kuna siku ilitaka kunidhalilisha, huchelewi kukutana na picha za uchi zimefatana, alaf bahati mbaya ni kuwa hata wewe usipo follow page za kipuuzi uliowafollow waki-like tu na wewe unaiona

Sasa shida ndo inaanzia hapo watu tunapenda ngono balaa ni lazima utakutana na nudes tu
Kama jamii hiyo ndiyo reflection yetu,haya mambo hayaanzii Twitter,yananzia huku nje
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Naunga mkono hoja
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Bongo ata uwesiriazi vip utoboi.... mfano angalia machawa walivo na maisha siku hizi!!!
 
Zungukeni muwezavyo, Ngono inapendwa 100%


Muache unafikii mazeeee !!!

Hapo ukingia lenye history yako ya activities za Leo Ndani ya JF...

Utagundua Uzi wa masihara umeufungua Mara 20 😂😂😂


Unafiki unafiki tu na kupretend mambo!!
 
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.
Umepiga kwenye mshono ,ukweli mtupu ,mada za kipuuzi zina trend sana.

Nilichogundua wengi wanaoanzisha mada za kipuuzi lengo lao ni Kutwist mambo yaani Game Changers! Mada wanazozianzisha yaani hazina uhalisia kabisa yaani ni story za kutunga ili kubadili tu upepo tu.
 
Aaahhh Sasa Mimi pia ni Man, na ninakula masihara sana na nikishakupa nakuja kwenye Uzi wetu nikiwa na muda na Jamaa zangu wamemiss visa, basi lazima niwape.

Hiyo haijawah nifanya Wanawake nisiwale.

Look, Kuna Wanawake Huwa mpaka nawaonyesha picha za Wanawake zangu weeeeeengi, mpaka unakuta wanajishaua, weee Malaya,, siwez Toka na mkaka kama weee muhuni .

But hainichukui muda, nao wanajikuta nimewala.


Sasa imewah nipunguzia Uanaume wangu?.
Whether you kiss and tell or you don't haina madhara mkuuu maana fake id zinatubeba sana humu.

Hivyo hamna mtu anaharibiwa privacy yake that's logical

Na wenzangu na mie ni ma sex addicts hizo masihara na mbinu ndo tunazotumia pia kuwanasa baadhi ya wake za watu

Kichupa kikijaa. Nashukuru kwa michango yako kwenye visa ya mitombano [emoji119]
 
U
Ni kweli bro. Shida labda nimefikisha ujumbe wa hasira sana. Ila ndio uhalisia, tukisema tuanze kufanya comparison mada za ajabu ndio zina michango mingi.

Ndio maana nikasema ujinga mi mwingi kwakuwa unajidhihirisha.
Ukimuuliza Maxence Melo achague kuzipiga pin mada zetu za kiwaki na abakishe zenu ngumu za kuumiza kichwa nakuapia ndani ya wiki jf itamfia,atakosa circulation ya content
Hivyo relax
 
Dah
Mmejaa mnatype
Ma jiniazi mixed na vilaza
😂😂
No offence
CC190DA7-902E-475F-B573-9C9DD2529EA4.jpeg
 
Lakin mi naona siku zinavyozidi kwenda tunaharibika sana siyo Jf tu hata Twitter miaka ya nyuma ilikua ni mtandao ambao huwezi kuanzisha mada za kipuuzi lakin sahiv imekua ni sehemu ya mada za ngono hata kufungua Twitter public unaogopa tena bora hata Facebook inayooneka ya watu wa ajabu lakin angalau wamestaarabika
Twitter imeharibika kwa kiasi cha ajabu.

Waswahili wamevamia ni mwendo wa kujadili uzinzi na ngono. Huwezi kukuta taarifa isiyo na maudhuii ya UCHAFUUU

Halafu yanashangiliaaa yanapeana kongolee... daaahh

Yaani niliifuta fastaa
 
So funny aisee, pale mtu mmoja anapotaka kila mtu awe na mlengo sawa wa kufikiri. Dunia haiendi hivyo hata kidogo mleta mada.

If so, basi tuseme jf founders ni wapumbavu wasio na akili kuleta subforums ndani ya forum kubwa? Mleta mada don't think in one direction, sio kila mtu akiingia humu anataka kuwa serious, aongelee fani yake na yanayofanana. Wengine wanakuja hapa kuburudika, kama vile wengine wanavyokuja kuelimika, na wengine kuja kutengeneza connection.
 
Umepiga kwenye mshono ,ukweli mtu ,mada za kipuuzi zina trend sana.

Nilichogundua wengi wanaoanzisha mada za kipuuzi lengo lao ni Kutwist mambo yaani Game Changers! Mada wanazozianzisha yaani hazina uhalisia kabisa yaani ni story za kutunga ili kubadili tu upepo tu.
Jaribu kuanzisha forum ya vitu critical tu na Kisha mualikane nyie wagumu tu halafu uje unipe mrejesho
 
Back
Top Bottom