Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Bro, I rate you.

But reverse your thinking. Mwenye jukwaa haijalishi nini kimeongelewa (as long as hakuna uvunjivu wa sheria, privacy and the likes) kwake yeye ni faida kupata wachangiaji na watumiaji wa mtandao wake.

So as long as watu mnatembele JF kwa wingi ndivyo Max na wenzie wanapiga noti. So yeye hawezi kujali ujinga wetu as long as hatujavunja sheria n.k

So bro maoni yangu ni kuwa japo kuna forums mbali mbali lakini ujinga ndio unapata support kubwa zaidi.

NB: Sio support kutoka kwa waendesha forum bali sisi wachangiaji.
Nakupa mfano mkuu, ipo subforum ya Love connect kule MMU, kwa akili ya kawaida unaweza kudhani labda waanzilishi wa jf walizingua sana kuweka mazingira ya watu kufanya dating nk. Lakini uhalisia wake ni kwamba ni moja ya hitaji la mwanadamu, meet and date.

Binafsi naona hata siasani, where most of us think only great minds discuss critical issues, kuna upuuzi tu na matusi na kupeana stress, binafsi sitaki kuingia humu nikutane na stress NO, nahitaji kuingia na kuburudisha akili yangu, how...nachagua wapi pananifaa, iwe jokes, mahusiano au vyovyote vile.

Mind you, hili la kutumia mindandao vibaya sio kwa jf pekee na wala sio kwa watanzania pekee. Huko china kuna article moja nilisoma wanalalamika vijana na watumia mitandao wanaitumia for wrong reasons. So, tatizo lipo worldwide, sio bongo tu.
 
JF ni imekuwa kichaka cha watu wasiojielewa, hasa wanawake wanaojiuza na wenzao wanunuaji.

Huwezi kuweka topic yenye mantiki ikachangiwa maana wengi wala hawaelewi kinachoendelea wanawaza tu kupigana miti na kutafuta likes.

Shenzistan.
Tangu Enzi na Enzi makundi ya watu wajinga yalikuwepo hata kwasisi wakristo kwenye bublia yapo makundi ya wajinga, wapumbavu, Malaya, na welevu.

Wewe kazi ilikuwa ndogo tu , chagua jukwaa unalopenda la watu welevu haya unayoyaona hayakufai achana nayo.

Jf Ina majukwaa mengi sana Kuna Jukwaa la siasa, habar na hoja mchanganyoko, ujasiliamali, biashara na uchumi International forum
Unataka kuniambia hayo majukwaa yote ni wajinga na wapumbavu?

Hata huku MMU unakosema ni upumbavu mwingi ujue Kuna watu wametengeneza connection za kimahusiano,kibiashara, ndoa n.k

Wewe chagua panapofaa ungananapo
Hata ukianzisha maada ikawa na wachangiaji 10 tu waliotoa mawazo Yao chanya inatosha
 
Mkuu Uzi wako unaenda kuchukua tuzo Kwa kua Uzi pekee ulochangiwa sana, huku watizamaji wakiwa wachache.

hii inaonyesha Ma genius mpo wachache, na wajinga tupo wachache.

ngoma droooo!!
Magenius wapo wachache na hawajielewi

Sisi wenye average minds ndo tunamsaidia Leo kupata likes,views na mentions za kufa mtu

Angewaquote wagumu wenzake huu uzi ungekuwa na page moja au mbili

We ushangai ni kwanini Diamond platnumz page yake insta Ina over 10m followers wakati Ile ya Zitto na ya Samia Suluhu Hassan zinabembelezea followers
 
Lazma tubanane humu humu tuwatie MIKWAJUU NIWAKEREEE kweli kweli

MAVILAZAAA mnaangamiza jukwaa letu pendwaa, kwendeni facebook MKATAFUNANEE mtuachie jamiiforums yetu

Kaaaah! KERROOOOOO MAVILAZAZZ MAZIROOO Puuuhh!!
Maziro ndo tunapeana tactics za kutomba wake zenu vizuri na mabinti wenu mkuuuu.

Tunapenda ukilaza wetu wa kufikiria na kufanya ngono we ongea mpaka ufe

Ila ni mwendo wa MMU jukwa letu pendwa sana 😹😒

Hutamkera kilaza maana yeye hawezi kuelewa kikero na kihoro
 
.........ingawa umetufokea mkuu, ila tutajaribu kubadirika taratibu.....binafsi labda niseme tu Kikawaida kabisa na kiasili psychological weakness ya mwanadamu yoyote ipo ktk kitu kinachomgusa whether positively or negatively .......Sasa kwa kuzingatia hilo mara nyingi mambo yanayofanywa na watu yanategemea vitu vikubwa viwili:
1: Nature, Sasa kiasili binadamu anareact faster katika jambo linalomgusa yeye zaidi kuliko mwingine, Sasa ktk hili mapenzi ni jambo linalomgusa au kumuhusu kila binadamu ktk ulimwengu huu, Ina maana jambo lolote linalonasibishwa na mahusiano lazima litapata wahusika au wachangiaji wengi ambao hao watu ni kutoka makundi yote eg wanasayansi, wanasheria, wahandisi, madaktari etc, mind you kuwa mwanasiasa hakukuondelei ulazima wa kuwaza mapenzi coz mapenzi ndo chanzo cha uhai na familia, wanasema yanarun dunia
2: Nature au mazingira na hapa vitu kama professions, interests vinaingia, watu wanafanya mambo au wanazungumza vitu kutokana na kuvipenda na kuvihitaji Kwa sababu tu mazingira aliyopo yanamuhitaji afanye au ashiriki.....Sasa hapa ndo unakuta watu wenye shida fulani wnazungumza kitu kimoja, watu wa siasa ikitoka hoja ya kisiasa watakutana, wakisema bodaboda utawapata hapo....Kwa mfano hapa tz watumishi wote wa serikali ni zaidi ya laki sita lakini walimu ni nusu ya watumishi wote, kwa hiyo kumbe hata hapa jf ikitoka mada ya mwalimu tegemea itachangiwa na wengi, na ktk swala la interes ni ngumu kumzuia mtu kudeaal na jambo analolipenda au kulihitaji......ndo maana hii psychological weakness inatumiwa vizuri sana na wanatheologia na wachungaji kukusanya sadaka, hapa wanahubiri matatizo na mahitaji ya kimwili na kiuchumi ya mwanadamukama vile kuponya wagonjwa, kupata utajiri, kujenga nyumba, haya yanawagusa watu wengi na ndio mahitaji ya wengi ndio maana mikutano inajaa.....
So niseme tu kwamba Sina uhakika sana kama ishu au za mahusiano zitakuja pungukiwa wachangiaji coz mapenzi sio optional ni compulsory to both serious people and funny people, lakini pia kwenye baadhi majukwaa kama siasa tupunguze ujuaji na kutukanana kunapunguza wachangiaji, mf jukwaa la siasa ambapo tunaamini nchi inajadiliwa eti Ili uonekane una akili na upate likes lazima uilaumu serikali, umtukane mama na udai katiba, na ukijichanganya ukasema katiba iliyop inafaa utashambuliwa hadi umkumbuke rikiboy......
Lakini pia jukwaa la michezo ni usimba na uyanga tu, sasa kama wewe ni mtu wa darts , swimming au gymnastics au hata EPL thread yako itapata likes mbili, lakini halaumiwi mtu si watu hawako interested, kwenye magari pia kule kama huna gari utasemwa na ukiwa na gari wanasema unaringa, lazima watu wapungue tu, hata Mimi ninaepanda daladala naweza changia kuwa gari Ina matairi ya duara...nisikilizwe....
Hitimisho: Waanzisha nyuzi katika mjukwaa yote Siasa,mmu, mahari, michezo, biashara etc tujaribu kuanzisha mada za kujenga na tupunguze mizaha na matusi kwenye koments Ili mijadala iwe ya kujenga zaidi hasa Mmu ili tusiitwe wpumbavu next time.........


 
Kweli kabisa mkuuu hamna kupangiana maa ujinga sijui dont kiss and tell sijui vilaza thread hamna chochote maana watu wana unafki mwingi sana wanataka waonekana wana akili wakati ni hollllaaaa hollllaaaeee


We tomba hizo nyuchi sana toa visa na screenshots kabisa maana zina motivate sana kwenye hiyo sector 😊
Alafu screenshots Huwa zinanigeshea mbayaaa ,mnaona wenyewe mtoto anavyolilia uboooo😂😂😂



Mimi Huwa natamanj tuwe na JF spaces ..... Kwaajili ya Uzi wa masihara tu, maana kuandika inachosha sana .


Kuna Mnyarwanda nimemla kimasihara hivi karibum, aiseee mwanamke ana mapajaaa yule, Takooooo Takooooo kubwa alafu lainiiii , kiuno Cha nyiguuu, suraaa hiyo Pua yake ,🥰🥰🥰🥰 na kale karangi kake ka cheusi dawa , weeeeeeee weeeeeeee.

k ilikua yamotoooooooo, uteleziiii kama wooooote .

nilienjoy sana.


Vile nachoka kuandika !!.
 
Maziro ndo tunapeana tactics za kutomba wake zenu vizuri na mabinti wenu mkuuuu.

Tunapenda ukilaza wetu wa kufikiria na kufanya ngono we ongea mpaka ufe

Ila ni mwendo wa MMU jukwa letu pendwa sana 😹😒

Hutamkera kilaza maana yeye hawezi kuelewa kikero na kihoro
MMU ni mwiba sana kwa baadhi ya watu humu
 
Magenius wapo wachache na hawajielewi

Sisi wenye average minds ndo tunamsaidia Leo kupata likes,views na mentions za kufa mtu

Angewaquote wagumu wenzake huu uzi ungekuwa na page moja au mbili

We ushangai ni kwanini Diamond platnumz page yake insta Ina over 10m followers wakati Ile ya Zitto na ya Samia Suluhu Hassan zinabembelezea followers
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom