Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ndo hasira zilikoanzia, niliiona nikaipuuziaAnajisuuza tu,Leo si kaanzisha mada kutuuliza amnunulie mama mkwe wake chupi ya rangi gani🤣🤣🤣🤣🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hasira zilikoanzia, niliiona nikaipuuziaAnajisuuza tu,Leo si kaanzisha mada kutuuliza amnunulie mama mkwe wake chupi ya rangi gani🤣🤣🤣🤣🙌
[emoji23][emoji23] em niache we mtoto
Mwalimu unafahamu maana na social experiment? Na je umesoma mada yangu yote mpaka mwisho?Umeona ujisuuze Kwa mada ya kishoga uliyoianzisha Leo mkuu🤣🤣🤣🤣🤣
Nakupa mfano mkuu, ipo subforum ya Love connect kule MMU, kwa akili ya kawaida unaweza kudhani labda waanzilishi wa jf walizingua sana kuweka mazingira ya watu kufanya dating nk. Lakini uhalisia wake ni kwamba ni moja ya hitaji la mwanadamu, meet and date.Bro, I rate you.
But reverse your thinking. Mwenye jukwaa haijalishi nini kimeongelewa (as long as hakuna uvunjivu wa sheria, privacy and the likes) kwake yeye ni faida kupata wachangiaji na watumiaji wa mtandao wake.
So as long as watu mnatembele JF kwa wingi ndivyo Max na wenzie wanapiga noti. So yeye hawezi kujali ujinga wetu as long as hatujavunja sheria n.k
So bro maoni yangu ni kuwa japo kuna forums mbali mbali lakini ujinga ndio unapata support kubwa zaidi.
NB: Sio support kutoka kwa waendesha forum bali sisi wachangiaji.
Bora uliipuuzia maana ilikaa kiwaki sanaNdo hasira zilikoanzia, niliiona nikaipuuzia
Tangu Enzi na Enzi makundi ya watu wajinga yalikuwepo hata kwasisi wakristo kwenye bublia yapo makundi ya wajinga, wapumbavu, Malaya, na welevu.JF ni imekuwa kichaka cha watu wasiojielewa, hasa wanawake wanaojiuza na wenzao wanunuaji.
Huwezi kuweka topic yenye mantiki ikachangiwa maana wengi wala hawaelewi kinachoendelea wanawaza tu kupigana miti na kutafuta likes.
Shenzistan.
Na hivi visivyo na maana ndo vinavyouza zaidi
Shangazi mmoja we 🤣🤣Labla JF ianzishwe ya kichina ila hivi hivi niko na wew sambamba[emoji38][emoji38]
Magenius wapo wachache na hawajielewiMkuu Uzi wako unaenda kuchukua tuzo Kwa kua Uzi pekee ulochangiwa sana, huku watizamaji wakiwa wachache.
hii inaonyesha Ma genius mpo wachache, na wajinga tupo wachache.
ngoma droooo!!
Maziro ndo tunapeana tactics za kutomba wake zenu vizuri na mabinti wenu mkuuuu.Lazma tubanane humu humu tuwatie MIKWAJUU NIWAKEREEE kweli kweli
MAVILAZAAA mnaangamiza jukwaa letu pendwaa, kwendeni facebook MKATAFUNANEE mtuachie jamiiforums yetu
Kaaaah! KERROOOOOO MAVILAZAZZ MAZIROOO Puuuhh!!
Tags likes comments ni makasiriko kwa baadhi ya watu,Bora uliipuuzia maana ilikaa kiwaki sana
Na ndiyo yanayofanya huu uzi utembeeMAVILAZAAZ yanakera mnoo!
Piga MIKWAJUUUU.... MAXENCE MELOO yafurushe haya MAZIRO yatakuangamizia jukwaa lako
Alafu screenshots Huwa zinanigeshea mbayaaa ,mnaona wenyewe mtoto anavyolilia uboooo😂😂😂Kweli kabisa mkuuu hamna kupangiana maa ujinga sijui dont kiss and tell sijui vilaza thread hamna chochote maana watu wana unafki mwingi sana wanataka waonekana wana akili wakati ni hollllaaaa hollllaaaeee
We tomba hizo nyuchi sana toa visa na screenshots kabisa maana zina motivate sana kwenye hiyo sector 😊
Hehehe. Kama wewe ni kenge mimi ni mamba nyambaff 😂We kenge usipangie watu maisha
😆😆😆😆sawa mshangaziiiiiii na penseli yakoShangazi mmoja we 🤣🤣
MMU ni mwiba sana kwa baadhi ya watu humuMaziro ndo tunapeana tactics za kutomba wake zenu vizuri na mabinti wenu mkuuuu.
Tunapenda ukilaza wetu wa kufikiria na kufanya ngono we ongea mpaka ufe
Ila ni mwendo wa MMU jukwa letu pendwa sana 😹😒
Hutamkera kilaza maana yeye hawezi kuelewa kikero na kihoro
Kama unavyoiona yako takatifu ndivyo na wengine waanzishao zao waonavyo.Mara mia ungeuchuna kuliko Kuja kujijaza utakatifu hapaMwalimu unafahamu maana na social experiment? Na je umesoma mada yangu yote mpaka mwisho?
😂😂😂😂Magenius wapo wachache na hawajielewi
Sisi wenye average minds ndo tunamsaidia Leo kupata likes,views na mentions za kufa mtu
Angewaquote wagumu wenzake huu uzi ungekuwa na page moja au mbili
We ushangai ni kwanini Diamond platnumz page yake insta Ina over 10m followers wakati Ile ya Zitto na ya Samia Suluhu Hassan zinabembelezea followers