Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Vilaza ndiyo wanaoitawala hii dunia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa sijui nitaanzaje
Au nianze kama zile pigo za wazazi wangu wamekufa wameniachia nyumba kubwa Canada nataka nije huko Tz tuishi wote au nianzaje[emoji38][emoji38]
[emoji38] [emoji23] usijali we kuwa mpole hivyo hivyo usiwe na tabia za wanaijeria puliz

Kama uko Canada nitakuja pia na kama ni bongo sawa we uwe mkweli tu
Ila nami siwezi kuwa wale wa kusema nina Brabus
 
Sasa sijui nitaanzaje
Au nianze kama zile pigo za wazazi wangu wamekufa wameniachia nyumba kubwa Canada nataka nije huko Tz tuishi wote au nianzaje[emoji38][emoji38]
Unataka kuwa mpopo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­
 
MAVILAZAZZZ... tandika BAKORAA

Ningekuwa MAXENCE MELLO ningeyafurusha mpaakaaaa.....

KEROOOOOOOOO.... MAZIROOOO NUKSIII UCHAFUUU
 
Oooza hakua na mwili kama huu kweli πŸ€”
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    6.4 KB · Views: 2

Wanaitwa vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. ---Jiwe.
 
Ila chalii wanawake wa jf walikufanya nini? Uko so bitter towards them. Nimeshuhudia comments zako kama tatu hivi zikiwa bitter kweli, hata uzi wako japo umeongelea wote ila umeegemea zaidi upande huo.

Hebu sema nini mbaya uponye nafsi yako. Hiyo bitterness sio nzuri kwa afya yako ya akili.
 
[emoji23][emoji23] unaona na wewe ni kilaza unayetaka kuchoropoka kundini?

Ushatoka nje ya mada yan
Jf vilaza hatuwezi isha [emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]

Wallah sikukwoti tena[emoji38][emoji38][emoji38]
Nimetoka kundini umenirudisha chap bila kunihurumia jaman
Sijapenda
 
Mtoa mada uko sahihi tatizo wabongo ni wabishi sana na ndo maana hata viongoz wetu manatupelekesha tu wanavyotaka sababu wanajua sisi ni kama kondoo yaan (zero brain). Kutwa tunawaza ngono tu sasa unadhan kwa akili kama hiz tunaweza kuitoa ccm madarakani achilia mbali kupata katiba!.
 
MAVILAZAZZZ... tandika BAKORAA

Ningekuwa MAXENCE MELLO ningeyafurusha mpaakaaaa.....

KEROOOOOOOOO.... MAZIROOOO NUKSIII UCHAFUUU
Ndo maana we sio melo na hutakua melo labda kichongeo cha bichwa lenye komweeembe


Kwa edo kumwembe
 
Ndio majiniaz mnavyoandika? Waii
Ngachoka πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈ
Nimeandika huku NASAGA MENO

MAVILAZAAZZ YANAKERAAAAAA.... KERRROOOOOOOOOOOOOO

FURUSHA YOTEEE YAKADANDIE FACEBOOK KULE... YAMEJIBANZA HUMUU YANAFARIJIAANAA USHUBWADAA
 
[emoji38] [emoji23] usijali we kuwa mpole hivyo hivyo usiwe na tabia za wanaijeria puliz

Kama uko Canada nitakuja pia na kama ni bongo sawa we uwe mkweli tu
Ila nami siwezi kuwa wale wa kusema nina Brabus

[emoji38][emoji38][emoji38]
Aahh kwa style hiyo sitapiga pesa sasa
Au nikutumie TV na iPhone na dollar kadhaa ikifika DHL uambiwe utoe ka laki nne hivi
Mjini hapa mkuu, wanasema only fittest will survive
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…