Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Maziro ndo tunapeana tactics za kutomba wake zenu vizuri na mabinti wenu mkuuuu.

Tunapenda ukilaza wetu wa kufikiria na kufanya ngono we ongea mpaka ufe

Ila ni mwendo wa MMU jukwa letu pendwa sana 😹😒

Hutamkera kilaza maana yeye hawezi kuelewa kikero na kihoro
Vilaza ndiyo wanaoitawala hii dunia
 
Pornhub ni kama imehamia kule aiseeee
Account za hivo ziko za kutosha
Mambo mengine mpaka ni aibu maana unafungua Twitter unabidi uangalie kulia na kushoto kama kuna watu. Mada za kukosoana na kugombana ndio useme plus Spaces za kuongelea mapenzi ni balaa
😂😂😂😂
 
Sasa sijui nitaanzaje
Au nianze kama zile pigo za wazazi wangu wamekufa wameniachia nyumba kubwa Canada nataka nije huko Tz tuishi wote au nianzaje[emoji38][emoji38]
[emoji38] [emoji23] usijali we kuwa mpole hivyo hivyo usiwe na tabia za wanaijeria puliz

Kama uko Canada nitakuja pia na kama ni bongo sawa we uwe mkweli tu
Ila nami siwezi kuwa wale wa kusema nina Brabus
 
Sasa sijui nitaanzaje
Au nianze kama zile pigo za wazazi wangu wamekufa wameniachia nyumba kubwa Canada nataka nije huko Tz tuishi wote au nianzaje[emoji38][emoji38]
Unataka kuwa mpopo 😂😂🤭
 
MAVILAZAZZZ... tandika BAKORAA

Ningekuwa MAXENCE MELLO ningeyafurusha mpaakaaaa.....

KEROOOOOOOOO.... MAZIROOOO NUKSIII UCHAFUUU
 
Alafu screenshots Huwa zinanigeshea mbayaaa ,mnaona wenyewe mtoto anavyolilia uboooo😂😂😂



Mimi Huwa natamanj tuwe na JF spaces ..... Kwaajili ya Uzi wa masihara tu, maana kuandika inachosha sana .


Kuna Mnyarwanda nimemla kimasihara hivi karibum, aiseee mwanamke ana mapajaaa yule, Takooooo Takooooo kubwa alafu lainiiii , kiuno Cha nyiguuu, suraaa hiyo Pua yake ,🥰🥰🥰🥰 na kale karangi kake ka cheusi dawa , weeeeeeee weeeeeeee.

k ilikua yamotoooooooo, uteleziiii kama wooooote .

nilienjoy sana.


Vile nachoka kuandika !!.
Oooza hakua na mwili kama huu kweli 🤔
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    6.4 KB · Views: 2
Sisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).

Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).

Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.

Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.


Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).

Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.

Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.

Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.

Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).

Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.

Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.

Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.

Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.

NONSENSE.

Wanaitwa vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. ---Jiwe.
 
Ila chalii wanawake wa jf walikufanya nini? Uko so bitter towards them. Nimeshuhudia comments zako kama tatu hivi zikiwa bitter kweli, hata uzi wako japo umeongelea wote ila umeegemea zaidi upande huo.

Hebu sema nini mbaya uponye nafsi yako. Hiyo bitterness sio nzuri kwa afya yako ya akili.
 
[emoji23][emoji23] unaona na wewe ni kilaza unayetaka kuchoropoka kundini?

Ushatoka nje ya mada yan
Jf vilaza hatuwezi isha [emoji23][emoji23][emoji91][emoji91]

Wallah sikukwoti tena[emoji38][emoji38][emoji38]
Nimetoka kundini umenirudisha chap bila kunihurumia jaman
Sijapenda
 
Mtoa mada uko sahihi tatizo wabongo ni wabishi sana na ndo maana hata viongoz wetu manatupelekesha tu wanavyotaka sababu wanajua sisi ni kama kondoo yaan (zero brain). Kutwa tunawaza ngono tu sasa unadhan kwa akili kama hiz tunaweza kuitoa ccm madarakani achilia mbali kupata katiba!.
 
MAVILAZAZZZ... tandika BAKORAA

Ningekuwa MAXENCE MELLO ningeyafurusha mpaakaaaa.....

KEROOOOOOOOO.... MAZIROOOO NUKSIII UCHAFUUU
Ndo maana we sio melo na hutakua melo labda kichongeo cha bichwa lenye komweeembe


Kwa edo kumwembe
 
[emoji38] [emoji23] usijali we kuwa mpole hivyo hivyo usiwe na tabia za wanaijeria puliz

Kama uko Canada nitakuja pia na kama ni bongo sawa we uwe mkweli tu
Ila nami siwezi kuwa wale wa kusema nina Brabus

[emoji38][emoji38][emoji38]
Aahh kwa style hiyo sitapiga pesa sasa
Au nikutumie TV na iPhone na dollar kadhaa ikifika DHL uambiwe utoe ka laki nne hivi
Mjini hapa mkuu, wanasema only fittest will survive
 
Back
Top Bottom