Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Nimecheka sana kama unataka kufika Canada jaribu kweny platform za wakenya utapata pakuazia ingia tik tok,kiufupi lango jepesi la kufika nje Kwa East Africa Kenya inaweza kuwa ni rahisi zaidi kuliko bongo wa Tanzania ujamaa unaendelea kututafuna jaribu Kenya mim mwakajana niliunganushwa na mkenya na jamaa yupo sinza pale anapeleka watu Qatar sema mim tu Kuna vitu vilikua havijakaa sawa nikashindwa kwenda ila mwanangu alienda kabisa ngoja nikutaftie namba yake nikutumie ujaribu kuongenaye
Sawa mkuu nitashukuru
 
Usifanye mambo kua magumu Mkuu.

Humu Kuna Madaktari, Kuna mwingine ni Mwalimu... Mwingine Mwanasheria kama Pasco...Mwingine Muhandisi ... Mwingine Mfanyabiashara ...Mwingine Hana Kazi..Mwingine mwanachuo. Kuna Madereva humu, Kuna mafundi Ujenzi humu .n.k


Sasa Kila mmoja akisema ajikite kwenye Profession yake Kila siku ,unadhan humu JF kutanoga ??? , au Mimi mtu wa Afya niende kuchangia Mada za Uinjinia. ,au Mimi nichangie Mada za Sijui Kati ya Nairobi na Dar ipi nzuri? Sijui DODOMA na Mwanza wapi pazuri .... Mimi binafsi nitakua nmefanya matumizi mabaya ya Akili yangu .


Humu Ndani Kuna nyuzi ambazo Mimi hata iweje Sitokaa kuzifungua baada ya Kusoma Vichwa vya habari..

Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k

Lakini hizo nyuzi Kuna watu wanazielewa sanaaa .


Watu hao sio wajinga Wala nini , ni Mahali ambapo ukiachilia mbali taaluma zao, hapo ndipo wanachangamsha akili



Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.

Hapa penyewee nipo naweka sawa Mbususu fulan nataka niile Asubuhi ,alafu usiku Nile mbususu ya yule Bidada nilowaelezea kwenye Uzi wa masihara !!.




Yaan hizi nyuzi za ujinga ujinga, ndo tunakutania hukooo Kwa pamoja
dxdddxx0
 
majukwaa na mada ndiyo vinaamua mada itembee/isitembee. Kila mtu ana interest zake jf hatuwezi wote kuwa washabiki wa MMU au siasa n.k
Kwenye kundi lolote la watu wengi kuna kila aina tofauti tofauti za watu ni kuchagua upande wako unaofit.
[emoji817][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Usifanye mambo kua magumu Mkuu.

Humu Kuna Madaktari, Kuna mwingine ni Mwalimu... Mwingine Mwanasheria kama Pasco...Mwingine Muhandisi ... Mwingine Mfanyabiashara ...Mwingine Hana Kazi..Mwingine mwanachuo. Kuna Madereva humu, Kuna mafundi Ujenzi humu .n.k


Sasa Kila mmoja akisema ajikite kwenye Profession yake Kila siku ,unadhan humu JF kutanoga ??? , au Mimi mtu wa Afya niende kuchangia Mada za Uinjinia. ,au Mimi nichangie Mada za Sijui Kati ya Nairobi na Dar ipi nzuri? Sijui DODOMA na Mwanza wapi pazuri .... Mimi binafsi nitakua nmefanya matumizi mabaya ya Akili yangu .


Humu Ndani Kuna nyuzi ambazo Mimi hata iweje Sitokaa kuzifungua baada ya Kusoma Vichwa vya habari..

Kwa Mfani... Uzi wa Mikeka na kubeti... Toka nijiunge JF sijawahi kuufungua.... Uzi wa jF usiku wa manane, Uzi wa JF nipe likes..hizi Mara ya mwisho kufungua ni mwaka 2017 n.k n.k

Lakini hizo nyuzi Kuna watu wanazielewa sanaaa .


Watu hao sio wajinga Wala nini , ni Mahali ambapo ukiachilia mbali taaluma zao, hapo ndipo wanachangamsha akili



Mimi binafsi hata Ukinita mjinga ,poa tuu ,you are awesome ila ukweli ni kwamba, kwenye UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA, HUNIAMBIII KITU ....NITAUCHANGIA ULE UZI MPAKA SIKU MOJA RAIS SA100 AKIWA JUKWAAN ASEME "KAMA MULE JF KUNA ID YATAITWA CARLOS THE JACKAL, WANANGU NAWAAMBIENI ILE ID INAKULA KIMASIHARA SANA MPAKA INATISHA AU NDIO MKONGO??.

Hapa penyewee nipo naweka sawa Mbususu fulan nataka niile Asubuhi ,alafu usiku Nile mbususu ya yule Bidada nilowaelezea kwenye Uzi wa masihara !!.




Yaan hizi nyuzi za ujinga ujinga, ndo tunakutania hukooo Kwa pamoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu, wewe ni kati ya wale wajinga!

Uwezi ukapangia watu thread za kushiriki na kuto shiriki baadhi ya thread, sio justification kwamba wa Tanzania ni Wajinga.
 
Back
Top Bottom