Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Sawa sawa mkuuHapo umeongea sasa
Nikitua tu nakutafuta uje Dar
Mwenyeji wewe hata kama hupajui sawa
Na zawadi ngoja niandae [emoji1]
Utanishtua basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa mkuuHapo umeongea sasa
Nikitua tu nakutafuta uje Dar
Mwenyeji wewe hata kama hupajui sawa
Na zawadi ngoja niandae [emoji1]
Humu mitandaoni usitafute kujenga hoja au kubishana na mtu chill soma like, comment, humu hatuhitaji kushupaza shingo. Nimecheka sana kujua ww ulikua unataka kubishana tena kwa kuparamia comment ambayo ipo huru sijamreply mtu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Hili lenyewe ni tatizoHaya
HayaHumu mitandaoni usitafute kujenga hoja au kubishana na mtu chill soma like, comment, humu hatuhitaji kushupaza shingo. Nimecheka sana kujua ww ulikua unataka kubishana tena kwa kuparamia comment ambayo ipo huru sijamreply mtu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Hili lenyewe ni tatizo
shida ya wabongo kuchagua dhambi na kujikuta, wewe nawe walewale tena inawezekana ni zaidiSisi ngozi nyeusi tunaojielewa tupo wachache sana (mimi mmoja wao).
Yani hapa jukwaani ikianzishwa mada ya kipuuzi (hasa inayohusu mapenzi) inarukiwa haraka sana na watu (wengi ni vichwa panzi, hasa wanawake).
Na ili thread itembee vizuri utakuta wanaume (vichwa panzi na wanaopenda sifa kwa kutamani wanawake) nao wanarukia mada haraka na kukuta thread imetembea haraka kwa mijadala ya kiwaki (kipumbavu) isiyokuwa na tija.
Hili jambo nime observe muda mrefu sana. Mimi sio muanzisha mada mzuri hapa JF mara nyingi napenda kuchangia. Hii ni kutokana na kuwa najua mada zangu ninazoziwaza hapa nikileta haziwezi kupata wachangiaji.
Wengi kwanza hawataelewa au watakuwa uninterested kwakuwa sio mambo wanayoyapenda (wamezoea ujinga).
Leo tu nimekaa nikawaza kufanya social experiment niandike mada ya kipuuzi (angalia thread yangu ya mwisho kabla ya hii) nimegundua hapa JF (ambapo kwa sample ya kitafiti inafaa kujumuisha watu wote weusi wa hapa nchini) kuwa watu wengi ni wapumbavu na wasio na akili.
Mtu akianzisha mada (hasa wenye jinsia ya kike, ambao wengi mtandaoni sio wakike wote) basi mijinga mingi hukimbilia kudakia mada hiyo ya kijinga na utakuta uzi una trend sana.
Lema akisema ukweli kuwa sisi ni maskini utakuta hao hao wajinga wanamlaumu kuwa anatukana watu. Lakini ukweli mchungu ni kuwa anapiga kwenye mshono.
Kuna watu ambao angalau wana balance mambo (kuna muda yupo anachangia mambo ya muhimu na huko ujingani/vuruguni anachangamsha genge, mimi mmoja wao).
Ila hapa JF watu wapuuzi ni wengi sana na ndio mada za kipuuzi zisizokuwa na mantiki ndio utakuta zimechangiwa sana na wajinga wengi kuliko mada zenye kuleta tija. Angalia thread za mambo ya kulana kimasihara zinavyofanya vizuri.
Ila thread za kueleweka zinazo make sense zina wachangiaji wachache wenye sense kwakuwa wenye sense ni wachache.
Nonsenses ni kibao.
Tubadilike, kwanza hatuwezi, tuendelee tu kumchukia Lema kwa kutupiga panapouma.
Huu uzi hata jukwaa la kuuweka sijui maana ni multi-whatever.
NONSENSE.
Hayashida ya wabongo kuchagua dhambi na kujikuta, wewe nawe walewale tena inawezekana ni zaidi
upuuzi tu umeandika hapa.
Ukiwaambia wanakuja kwa nguvu kukurarua ila mimi huwa sitishiwi na vilaza. Wenye hoja tu ndio ninaoweza kutishika nao.Ni kweli kabisa nchi hii ina watu wa hovyo sana. Jukwaa la mahusiano na mapenzi ni kama jukwaa la ngono maana mada nyingi ni za ngono na wachangiaji lukuki. Hata majukwaa mengine mada zenye wachangiaji wengi ni zile zenye uhusiano wa ngono.
Big up. Mwambie ukweli huyo kengeshida ya wabongo kuchagua dhambi na kujikuta, wewe nawe walewale tena inawezekana ni zaidi
upuuzi tu umeandika hapa.
Umeandika ujinga mtupuNi wivu tu wa likes comments na trending ya uzi, kwakweli inauma sana mtu kuandika uzi wa kipuuzi kwa mujibu wako akapata page 50 kwa masaa kidogo tu wakati wewe unaandika madini na unaenda wiki hata page 5 hufiki,
Huo ujinga ndo dunia ya sasa inapenda, iv hujiulizi vitu vingi vinayotrend dunia ni vya kijinga mfano memes, tiktok, etc..kaka wewe kaa na busara zako ndo muhimu.Please do not use this phrase to praise stupidity.
Mtoa mada ana mantiki. Msipende kuendekeza ujinga.
Wala usihofuSawa sawa mkuu
Utanishtua basi
Na ukaunukuu😂😂😂 we mjinga zaidiUmeandika ujinga mtupu
Sina jinsiNa ukaunukuu[emoji23][emoji23][emoji23] we mjinga zaidi
Cha kukusaidia ignore option ipo kwa jukwaa, mada na ID zitumie ili uepuke kusoma na kunukuu ujinga na kuonekana mjingaSina jinsi
Siwezi kufanya hivyo mkuu,labda wewe ndo ubadilikeCha kukusaidia ignore option ipo kwa jukwaa, mada na ID zitumie ili uepuke kusoma na kunukuu ujinga na kuonekana mjinga
😂😂😂Ndo nilivyo huwezi kunibadilishaSiwezi kufanya hivyo mkuu,labda wewe ndo ubadilike
Basi tuendelee tu kupambana humu jukwaani[emoji23][emoji23][emoji23]Ndo nilivyo huwezi kunibadilisha
Ngoja nikusaidie matumizi ya ignoreBasi tuendelee tu kupambana humu jukwaani