Ukitaka kupima akili za Watanzania (Typical African minds) angalia nyuzi zinazotrend hapa jukwaani

Sawa mkuu nitashukuru
 
dxdddxx0
 
majukwaa na mada ndiyo vinaamua mada itembee/isitembee. Kila mtu ana interest zake jf hatuwezi wote kuwa washabiki wa MMU au siasa n.k
Kwenye kundi lolote la watu wengi kuna kila aina tofauti tofauti za watu ni kuchagua upande wako unaofit.
[emoji817][emoji419][emoji419][emoji419]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu, wewe ni kati ya wale wajinga!

Uwezi ukapangia watu thread za kushiriki na kuto shiriki baadhi ya thread, sio justification kwamba wa Tanzania ni Wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…