Ukitaka uheshimike zaidi na Mwanamke kama wewe ni Mwanaume usimsikilize

Ukitaka uheshimike zaidi na Mwanamke kama wewe ni Mwanaume usimsikilize

Lethergo

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2023
Posts
6,534
Reaction score
11,421
Sina haja ya salamu.

Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.

Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.

Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.

Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
 
Sasa usipomsikiliza itakuaje? na wanawake wanavyopenda kusikilizwa, usipomsikiliza wewe atatafuta wa kumsikiliza hata akiongea pumba, kwani hujui mwanamke anaongea sana, sasa pata picha anaongea halafu hapati ushirikiano inakuaje? Mwanamke atamheshimu mwanaume mwenye kutimiza wajibu wake kama mwanaume kwenye hayo mahusiano
 
Sasa usipomsikiliza itakuaje? na wanawake wanavyopenda kusikilizwa, usipomsikiliza wewe atatafuta wa kumsikiliza hata akiongea pumba, kwani hujui mwanamke anaongea sana, sasa pata picha anaongea halafu hapati ushirikiano inakuaje? Mwanamke atamheshimu mwanaume mwenye kutimiza wajibu wake kama mwanaume kwenye hayo mahusiano
Nimekwambia usimsikilize fanya na timiza majukumu yako ila usimsikilize wewe fanya tofauti na anachokwambia akikwambia ulete mbuzi wewe leta ng'ombe hapo utaheshimika vibaya mno
 
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Hii spana kweli kweli maana kuna watu hawatoiweza hii principle inahitaji uwe mwanaume kweli kweli sio mwanaume wa kuloweka au kuchoviya
 
Sina haja ya salamu.

Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.

Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.

Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.

Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Mbinu hii baba yako aliitumia kwa mama yako?
 
Sawasawa, kazi yetu ni...to lead, provide, protect and love. Soma Ephesians. Siku njema.Huu ujumbe kanitumia mjomba wangu ,ishi nao.
Oooi.
 
Mbinu hii baba yako aliitumia kwa mama yako?
Ndio maana nimeandika maana mbinu inafanya kazi, na wewe ichukue uitumie itakufaa zaidi usimsikilize fanya yako
 
Back
Top Bottom