Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema usimsikilize wewe fanya yako yanayokuhusu unaweza ukafanya zaidi au ukafanya kidogo tofauti na yeye anavyotaka akisema niletee kiti wewe mpelekee mezaChukua utakacho na yeye achukue atakacho, mchezo usisimame mpaka atakayebaki na mlio ule wa kupigwa na kitu kizito atakapopatikana.
ilo tu n rahisi kuanzia leo Lethergo sikusikilizi......😂🤣😅Sina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Ndio nnayoyaona sasa kwa wife mara anataka mtindi ,nikimletea mara anasema anataka embe ilimradi fujo tuSina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Sasa si usiwe na ndoa tu. Akushauri ulipe ada ya watoto weww uache ukalewe.Sina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Ok .mkuuNimesema usimsikilize wewe fanya yako yanayokuhusu unaweza ukafanya zaidi au ukafanya kidogo tofauti na yeye anavyotaka akisema niletee kiti wewe mpelekee meza
Wewe ni mtu wa kwanza duniani kumuelewa mwanamkeSina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Dah kumbe ulikuwa segerea welcome back man!Nipo mkuu nilipigwa ban ya muda mrefu almost kifungo cha miezi 3 ila sio mbaya nimerudi tena
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana. Ukijifanya kuwasikiliza umekwisha!Sina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Acha uongo basi.Mbona wewe ulimsikiliza mama yako hadi Leo hii umefanikiwa.Umesahau alipokwambia usishike moto utaungua na haukushika.Vip kama ungeshika na ukaungua ungekuja leo kutuambia mwanamke akikwambia usifanye hivi fanya tu. Je mama yako sio mwanamke?Sina haja ya salamu.
Ninakukumbusha wewe Mwanaume ili uheshimike na mwanamke usimsikilize mwanamke, kwa sababu mwanamke jinsi alivyoumbwa akikwambia anataka ufanye hivi maana yake anataka ufanye vile yaan vice versa is true kwa hio anaweza akakwambia umpe limao kumbe mwenzako anataka umpe ndimu. Sasa ukijichanganya ukafanya hivyo ukachukua limao ukampa sahau kuhusu kuheshimika na yeye.
Ni wewe na akili zako. Sasa akikwambia anataka hivi na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia wewe jiandae kudharauliwa utadharauliwa vibaya sana mpaka ujute kuzaliwa. Mwanamke anamuheshimu zaidi mwanaume asiemsikiliza anamuheshimu zaidi Mwanaume anaefanya tofauti na anavyomwambia.
Yaan Mwanaume anaambiwa kitu hiki ila yeye anafanya kitu kingine huyo ndio Mwanamke anamuheshimu zaidi. Akili kichwani mwako. Sasa ukifanya vile anavyokwambia ufanye na wewe ukafanya vile vile anavyokwambia jiandae kupoteza heshima yako.
Nazungumzia kuheshimika sio kupendwa. Unaweza uheshimike ila usipendwe au ukapoteza vyote kwa pamoja kwa hio unapochukua maamuzi jiandae kwa lolote.
Huwezi kunielewa nilichomaanisha yaan hutonielewa na hutonielewa kamwe ninachomaanisha ila nimefanyia research ya kutosha ndio nikaja kuandika uzi sijakurupuka from no whereAcha uongo basi.Mbona wewe ulimsikiliza mama yako hadi Leo hii umefanikiwa.Umesahau alipokwambia usishike moto utaungua na haukushika.Vip kama ungeshika na ukaungua ungekuja leo kutuambia mwanamke akikwambia usifanye hivi fanya tu. Je mama yako sio mwanamke?