Ukitoa pointi Yanga ilipata Kwa kuingia fainali shirikisho, Yanga inabakiwa na pointi ngapi?

Ukitoa pointi Yanga ilipata Kwa kuingia fainali shirikisho, Yanga inabakiwa na pointi ngapi?

Yanga inaenda kupata anguko kuu kwenye ranking za CAF.

Kwa jinsi miaka inavyowekwa uzito wa zile points za Shirikisho katika mahesabu unazidi kupungua na baada ya misimu miwili utapotea kabisa na hivi timu yenyewe hata kuingia robo fainali ni mtihani tutegemee baada ya miaka 2 washike nafasi ya 20 huko.
Makolo mnajua kujifariji.
 
Huna baya mkuu, kwa kua ushakubali uhalisia wa kushiriki mashindano madogo hivo ni haki yako kujitafutia faraja.
Screenshot_2025-01-21-05-59-03-055_com.twitter.android.jpg
 
Back
Top Bottom