Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu vya ndege utatamani kulia machozi

Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu vya ndege utatamani kulia machozi

Hapawezi kuwa na motisha hata serikali pesa ya nauli ya likizo inatoa kwa viwango vya mabasi kupitia muongoz wa LATRA , yaani hata wafanyakazi labda ajiongeza ndio anaweza kupanda ndege .

Kufufua sekta ya anga ni muhimu tena sana sisi tupo wengi sana , hawa TAA na TCAA wajiendesha kimatifa sasa .

Mnapeleka pesa kweny miundombinu ila wafanyakazi hamuwapeleki hata nje kusoma .
 
Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.

Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.

Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.

Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.

Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Which is the first country to have freedom ,btn tanzania and south africa is tanzania so tanzania must have good places than south because they have time to do all this
 
Viwanja vya ndege ambavyo kwa kiasi fulani viko busy hapa kwetu ni pamoja na JKIA, KIA, SONGWE, Z'BAR, BUKOBA, MWANZA... kwingineko pia lakini umaskini ni chanzo kikubwa cha kufanya viwanja vyetu kuwa utupu muda mwingi, na tunategemea route za nje kuliko za ndani ambazo zingeweza kuongeza route za ndege. Serikali upunguze siasa katika mambo haya.
Kwa miaka miwili Sasa Zanzibar zinatua ndege nyingi kuliko viwanja vyote hapa TZ....
 
Hapawezi kuwa na motisha hata serikali pesa ya nauli ya likizo inatoa kwa viwango vya mabasi kupitia muongoz wa LATRA , yaani hata wafanyakazi labda ajiongeza ndio anaweza kupanda ndege .

Kufufua sekta ya anga ni muhimu tena sana sisi tupo wengi sana , hawa TAA na TCAA wajiendesha kimatifa sasa .

Mnapeleka pesa kweny miundombinu ila wafanyakazi hamuwapeleki hata nje kusoma .
Kuna haja pia ya kuwa na viwanja vya ku support JNIA na KIA ie Mwanza Airport jengo la abiria kama banda la kuku utapata wapi ndege nyingi kwa sasa watu nchi jirani Uganda,Rwanda, DRC nk kuifikia Mwanza lazima waende Dar this is damn expensive,hakuna mtandao wa ndani effective wa njia za ndege. Macho yote Dar
 
Tanzania ina diaspora wachache sana. Nchi kama Kenya, Nigeria, Ethiopia na hata Somalia zina raia wengi sana nje ya nchi zao. Hilo linafanya hata viwanja vyao viwe bize. Tuanze labda kwa kuhakikisha tuna raia wengi wanaoenda kuhemera huko nje.
Tunahitaji uraia wa nchi mbili
 
T
Mkuu Kenya ni conneting hub, mashirika mengi ya ndege yanatua Kenya na kuunganisha safari nyingine kwenda mahala pengine.

Ndio maana safari za ndege Nairobi ni nyingi sana kuliko Dar es Salaam. Ethiopia the same.

Afrika kusini ni nchi iliyoendelea mkuu, huwezi kuilinganisha na Tanzania. Miundombinu yao ya barabara, viwanja vya ndege ni level nyingine kabisa. Nchi inapata watalii 9m kwa mwaka na kabla ya covid ilikua inapata zaidi ya 10m kwa mwaka huku sisi tukiambulia 1m hadi 1.5m kwa mwaka.

Kutokua busy kunasababisha uwanja wetu wa Mwalimu Nyerere kukosa huduma za kisasa, mfano pale airport hakuna free wifi, hii ni huduma ya msingi airport lakini JNIA sijawahi kupata free wifi pale.

Bado tuna safari ndefu sana ya kwenda.
Punguza chumvi free wifi ipo kote kuanzia terminal 1-3. Ila uki-connect unakuwa redirected kwenye page ya ku-sign up kwanza ndio uweze kuendelea.
Sign up yenyewe ni ya kupiga tick tu then wazungu hao wanamwagika.
Its the same as DXB na sehemu zingine lazima u-sign up kwanza ndio uendelee
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Baada ya muda hizo wenge ulizotoka nazo huko ulaya zitaisha tu, hapa ndio nyumbani
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Ndege zilikuwepo na safari nyingi zilikuwepo. Tatizo ni ufahamu mdogo wa uchumi na maendeleo ya watu kwa kutumia sector zote za usafiri. Wakati mwendazake ananunua hizi used planes alikuta airline zingine mbili fast jet na hii precision zikifanya vizuri sana;hasa fast-jet. Huku akitambua hawawezi kucompete kwenye free market mfano fast jet ikabidi waitengenezee zwengwe zote airline mbili sema precision kapitia wakati mgumu sana , walai hasingekuwepo.

Sasa suala linakuja kwa sasa inaonekana kupanda Ndege ni anasa. Nyingi ni hizi za air Tanzania, na mara nyingi sio reliable na kibaya zaidi bei zao ni mara tatu ya za zamani na route zao ni chache baada ya baadhi kukamatwa na nyinginekuchukua muda mrefu matengenezo. Kumbuka ilie nzuri mama ndiyo anaitumia kupigia masafa. Hivi unategemea nini.

Ifike sehemu tutatambue usafiri wa ndege unatakiwa kuwa wa kawaida kama mabasi tu;fast jet aliweza kuprove them correct na kwa expensive management ya air Tanzania wangefunga virago mwezi mmoja tu ila kwa sasa wanasaidiwa na created monopoly inayotulazimisha kuitumia upende husipenda. Ila bottom line mchnago wa usafiri wa ndege kwenye uchumi umepotea kabisa. Ni bora upande basi ni reliable na unafika salama
 
Jamaa kaandika kitu kisichokuwepo kabisa. Wamekuja watu nao hata kipawa airport pale hawajawahi fika na wamemuunga mkono.
Lets use these platforms well.
 
Ukitoka kidogo nje ya nchi na ukarudi kwenye viwanja vyetu, utatamani kulia machozi. Pamoja na kwamba kuna ndege kadhaa za kimataifa zinazotua katika viwanja vyetu, lakini mara nyingi viwanja vyetu ni vitupu.

Kama KIA ni mara nyingi tu uwanja hauna hata ndege moja. Dar nako ndege ni chache sana. Kama kuna ubunifu unahitajika basi tutumie kuvutia mashirika ya ndege kuwa na safari.

Jambo jingine kwa Air Tanzania ni muhimu kuboresha huduma kwa kuajiri watu exposed. Ni Aibu chooni kukuta Toilet paper ndio tissue ya kufutia mikono baada ya kunawa. Hii ni nini? Serikali iboreshe huduma kwa kuajiri watu competent. Pi kama kuna mabadiliko ya kufanya yafanywe ndege nyingi zitue nchini
Nipeleke bas namm nirudi nilie kabisa
 
Back
Top Bottom