Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
Mkuu andaa andiko lako kikiwa na codes Ili uwapelekee wakisoma wavutiwe wakupe kazi uanze kutatua changamoto Moja baada ya nyingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angejua tu hata uwanja aliojenga kwao ungechangamka kama asingeiua fast jet.Yule mwehu aliifukuza fast jet bila sababu za msingi.
Inabidi iwe hivyo, kama hawajui tofauti ya paper towel na toilet paper, kazi ipo!Mkuu andaa andiko lako kikiwa na codes Ili uwapelekee wakisoma wavutiwe wakupe kazi uanze kutatua changamoto Moja baada ya nyingine
Umeongea point mfano mzuri mtu huwezi fungua bank ya CRDB jangwani au mahali watu kipato chao ni cha manati kama yule mwenda zake alivyofanya.Issue ingine kuna kitu kinaitwa Hub mfano kwa nchi za kusini mwa ikweta Africa Oliver Tambo ya Africa kusini,Nairobi na Bole airport ya Ethiopia ni hub.Shida ni mashirika kujaza ndege au wasafiri? Maana mashirika yasije kujaza ndege hapo air port halaf nyny watanzania munaogopa kusafir, me nadhan siku wasafiri/watalii wakiwa wengi na ndege zitakuwa nying ili kuendana na kasi ya watu,