Ukitukana utatukanwa, ukidharau utadharauriwa, ukipiga vijembe utapigwa vijembe

Ukitukana utatukanwa, ukidharau utadharauriwa, ukipiga vijembe utapigwa vijembe

Uhuru unaofaidika nao una mipaka yake, ndio maana pana ya demokrasia.

Sasa ndugu, unasema haya kumwelekea nani.?

Unadhani huo uhuru una mipaka kwa kina Tundu Lissu tu na CHADEMA?

Wao kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko CCM na serikali yao ya sasa hiyo "mipaka ya uhuru" haiwahusu siyo?

Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia jambo moja kuwa your assumptions are very wrong..!

Na waambie wenzako huko kuwa, kama wanadhani wao ndiyo wanaweza kuwawekea wengine mipaka ya uhuru wao huku wao wakiwa wanavuka mipaka hiyo kwa kiwango cha kutesa na kumwaga damu za wengine, basi umefika wakati wao pia si tu kuwekewa mipaka bali kufungiwa mipaka yao kabisa!!
 
Sasa ndugu, unasema haya kumwelekea nani.?

Unadhani huo uhuru una mipaka kwa kina Tundu Lissu tu na CHADEMA?

Wao kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko CCM na serikali yao ya sasa hiyo "mipaka ya uhuru" haiwahusu siyo?

Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia jambo moja kuwa your assumptions are very wrong..!

Na waambie wenzako huko kuwa, kama wanadhani wao ndiyo wanaweza kuwawekea wengine mipaka ya uhuru wao huku wao wakiwa wanavuka mipaka hiyo kwa kiwango cha kutesa na kumwaga damu za wengine, basi umefika wakati wao pia si tu kuwekewa mipaka bali kufungiwa mipaka yao kabisa!!
Well said Mkuu
 
Sasa ndugu, unasema haya kumwelekea nani.?

Unadhani huo uhuru una mipaka kwa kina Tundu Lissu tu na CHADEMA?

Wao kina Samia Suluhu Hassan na wenzake huko CCM na serikali yao ya sasa hiyo "mipaka ya uhuru" haiwahusu siyo?

Kama unadhani hivyo, nakuhakikishia jambo moja kuwa your assumptions are very wrong..!

Na waambie wenzako huko kuwa, kama wanadhani wao ndiyo wanaweza kuwawekea wengine mipaka ya uhuru wao huku wao wakiwa wanavuka mipaka hiyo kwa kiwango cha kutesa na kumwaga damu za wengine, basi umefika wakati wao pia si tu kuwekewa mipaka bali kufungiwa mipaka yao kabisa!!
Linganisha awamu ya JPM na hii ya SSH kwenye suala zima la uhuru wa kufanya mikutano ya kisiasa utaiona tofauti kubwa sana.

JPM hakutaka kupoteza muda kwenye masuala ya demokrasia alijua kwamba ni mtego utakaotupotezea muda na kutunyima ile mitazamo chanya ya kimaendeleo, na hakukosea hata kidogo kuwa na fikra zile.

SSH amekuwa muungwana sana kuachia kina Lissu, Lema na Mbowe wajimwage kadri wanavyojisikia lakini bado anaonekana kama vile anakosea na hajui analolifanya.
 
Kama mlivyotujaza ujinga enzi za JK kuwa mnaachana na umeme wa maji kisa ni mabadiliko ya tabia nchi mnahamia kwenye umeme wa gas. Ila alipoingia Magufuli mkameza matapishi yenu kwa ujenzi wa bwawa la umeme la hydro, huku mkiwa kimya kuhusu ile sababu ya mabadiliko ya tabia nchi.
Enzi ya JK sio sawa na enzi ya Samia. Marais wawili tofauti na wenye washauri na wasaidizi wenye viwango tofauti vya uelewa.
 
Ni kweli kabisa,
Watu wanamchukulia Rais Samia kirahisi sana kwa namna ya haiba yake ya upole na kutofoka. Lakini nawahakikishia kuwa Samia ni longtimer kwenye gemu za siasa na yuko matured.

Hiyo hotuba ya juzi ndiyo mwafaka sana kwa hawa waropokaji wa majukwaani. Unawakabili vile walivyokuja.

Hapa hakuna kumpiga mtu risasi 16 wala kumyang'anya fedha zake kama alivyokuwa anafanya Magufuli. Ukija kiungwana utajibiwa kiungwana. Ukija na kejeli unapigwa vijembe vile vile.
Mtu yoyote aliyefeli form four na kupachikwa mimba akiwa mdogo hawezi kuwa na akili sawasawa
 
Rais Samia anadai chadema wanamtukana. Kwahiyo tuhitimishe owa kusema naye alitukana.

Ndiyo! Ailitukana, akasema STUPID.
 
Sasa wana ccm wanamtaka wewe unataka akagombee chadema hii ina kuingia akilini kweli
Kumbe wanamtaka wana ccm tu! Ndio maana nikasema akienda kugombea chama kingine halafu ccm wakiweka mbwa huyo Samia hatoboi mbwa anaingia Ikulu.
 
Mbwa mamako
Halafu ndio unataka yule mama yako ikulu kule asitukanwe ila mama wa wengine ndio uwatukane, hilo haliwezekani.

Nakwambia hivi wewe kama unaona Samia anakubalika na atapita huo uchaguzi ujao basi mwambie agombee chama kingine halafu ccm waweke mbwa kama mgombea halafu uone nani ataingia ikulu.
 
Back
Top Bottom