Ukituliza kichwa sawasawa, mke bora anapatikana Baa huko kwingine ni unafiki tu

Jichanganye utajuta
 
Wewe ni dish [emoji341] la mtandao gani sijui, network iko na shida
 
Mkuu, umenikumbusha Dodoma. Palikuwa na 'open bar' moja inaitwa "Arctic" karibu na Jamatini.
Bwana mmoja alimchukua mdada wapale kuwa mke wake. Alichokifanya yule bwana kila wikiendi wanakuja wote tujumuika nasi.
Hilo lioitokea pia pale Sunset Bar karibu na Railway Club
 
Shetani wa mtu ni mtu, wanawake wenye tamaa hiyo namba msije mkaipiga mtaliwa kimasihara sasa shauri yenu
 
Wewe endelea kungojea usitafute, utazeeka single hakika
 
Ukiwa mume bora lazima mke awe bora.

"It takes two to tango".
 
Nakubali bar na uko kwa wadada wanajiuza ni shida tu zimewafanya waamue kufanya kazi hizo nina ushaidi wa jamaa zangu dah maisha haya [emoji27] yaani wanawake wa hivyo wakipata waume wanakuwa wapole wastarabu wamama wazuri kabisa tena uwa wanashukuru sana maana hizo kazi awazipendi shida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…