Ukituliza kichwa sawasawa, mke bora anapatikana Baa huko kwingine ni unafiki tu

Ukituliza kichwa sawasawa, mke bora anapatikana Baa huko kwingine ni unafiki tu

Mifumo ya kidunia inatabia ya kuwa swich watu, wapotee kwa kuacha vitu vya maana kabisa! Chipis zinapendwa na kila mtu lakini ukitaka upate nguvu zote baada ya kuishiwa ndipo unaikumbuka mihogo mibichi na karanga ambazo ungejua ubora wake hicho ndicho kingekuwa chakula pendwa.
Chips hazipunguzi nguvu zozote na mihogo haziongezi nguvu zozote. Hivyo vyakula vyote ni Carbohydrates, nothing new. Tuache kukariri.
 
Ni kweli tupu kwa asilimia 80% tena wawazi sana,hata tunavyopigwa bili bar wanajua hata ukichepuka na ukatumia condom anakushika hadi ufundi maiko wako unakutoka !Anakupeleka kukuogesha na neno honey kwa karibu anakutoa nguo zote.

Anakumwagia maji kwenye moja yako ya mbele!kwa jinsi condom ilivyo na mafuta ,maji yanateleza hapo sasa fundi maiko unajulikana ulichepuka.kaoge haraka baada ya tendo!
Hutafuti mke bali unamtafuta mwanamke utakayemtesa kwa kuukubali uzinzi wako. Ndoa na uzinzi havichangamani. Punguza tamaa.
 
Nakubali bar na uko kwa wadada wanajiuza ni shida tu zimewafanya waamue kufanya kazi hizo nina ushaidi wa jamaa zangu dah maisha haya [emoji27] yaani wanawake wa hivyo wakipata waume wanakuwa wapole wastarabu wamama wazuri kabisa tena uwa wanashukuru sana maana hizo kazi awazipendi shida tu.
Kila binadamu na tabia yake, mwenye kutulia na atatulia asiyetaka ataendelea. Mtu aliyetayari kuuza mwili wake, ameiweka rehani nafsi yake, hashindwi kuweka rehani ndoa na familia yake pindi yakitokea ndani ya ndoa. Utamu wa ngono sio suluhisho la ndoa tulivu.
 
Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe[emoji3578]
 
Samico kama samico
Naam mkuu! Leo naenda site mkuu kuna jamaa anachumba kimoja anataka wiring umeme fasta chapu chapu ahamie!
Naenda kumaliza kwa bei rahisi sana ufundi kanilipa 95000 bei ya ofa, Vifaa kanunua laki mbili tu, Fomu Tanesco TUTAMJAZIA BURE, bili tanesco luku atalipia 320,960/=
Maisha mepesi sana ukitumia Fundi Samico HAKIPOTEI KITU! Piga simu 0711756341 HAUTAJUTA au follow insta @Samico_tanzania
 
Una uzoefu Gani wa kunywa pombe ?? Unawajua bar maid au unawasikia? Yaani mwanamke anaefanya KAZI za bar anakumbwa na changamoto kama zote za walevi 99% ni malaya hawana tofauti na wale wanaojiuza, kwanza mshahara hauwatoshi na wanaishi Kwa offer wanataka mambo mazuri kusuka nywele za gharama kuvaa vizuri na kula mishikaki chips nyama choma michemsho hivyo vyote mpaka avipate ni lazima awe na mabwana kama wote, Sasa ni VIGUMU kutulia ndani pindi akiolewa
Thread closed, waache wajichanganye.
 
Wazo zuri

Mawazo mbadala. Kwanza hata ukiachana na hao baamedi mwanamke anayetumia bar anaweza faa vizuri tu.

Hawa huwa na uwezo wa kueleza hisia zao wazi (hata kama ni kwa msaada wa pombe) na ndio maana wanaishi vizuri maana wanawasiliana kikamilifu. Na palipo na mawasiliano amani na mshikamano vipo.
Wakevi wote wanawake kwa wanaime wakishaeewa wanaonana kuwa wote waziuri subiri pombe iishe

Baa sio eneo la kutafuta mke au mume wa kuoa ni hatari sana ni makazi ya mashetani

Mleta mada anahitaji msaada wa kisaikolojia na maombi

Awahi kwa Mwamposya
 
Back
Top Bottom