Huna picha yake nimuone?kuna mmoja naona ananipenda sana....nikiendaga hiyo bar ninapewa treatment yakwenda..
.ngoja nimuoe kama fundi samico amesema mimi ni nani mpaka nikatae na napata wapi ujeuri wa kupinga hilo😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna picha yake nimuone?kuna mmoja naona ananipenda sana....nikiendaga hiyo bar ninapewa treatment yakwenda..
.ngoja nimuoe kama fundi samico amesema mimi ni nani mpaka nikatae na napata wapi ujeuri wa kupinga hilo😀
nikushauri mara ngapi ndugu, chukua chombo bar utakuja kunishukuru baadaekwaiyo unatushaurije? maana naona umeanzisha mjadala hlf umeuacha hewani hujaufunga
Miwatu balaa lake [emoji119]Hakika duniani kuna;
1. Watu.
2. Mawatu.
3. Vijitu.
4. Mijitu.
5. Majitu.
6. Miwatu.
Bongo sihami ng'o.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Chips hazipunguzi nguvu zozote na mihogo haziongezi nguvu zozote. Hivyo vyakula vyote ni Carbohydrates, nothing new. Tuache kukariri.Mifumo ya kidunia inatabia ya kuwa swich watu, wapotee kwa kuacha vitu vya maana kabisa! Chipis zinapendwa na kila mtu lakini ukitaka upate nguvu zote baada ya kuishiwa ndipo unaikumbuka mihogo mibichi na karanga ambazo ungejua ubora wake hicho ndicho kingekuwa chakula pendwa.
Hutafuti mke bali unamtafuta mwanamke utakayemtesa kwa kuukubali uzinzi wako. Ndoa na uzinzi havichangamani. Punguza tamaa.Ni kweli tupu kwa asilimia 80% tena wawazi sana,hata tunavyopigwa bili bar wanajua hata ukichepuka na ukatumia condom anakushika hadi ufundi maiko wako unakutoka !Anakupeleka kukuogesha na neno honey kwa karibu anakutoa nguo zote.
Anakumwagia maji kwenye moja yako ya mbele!kwa jinsi condom ilivyo na mafuta ,maji yanateleza hapo sasa fundi maiko unajulikana ulichepuka.kaoge haraka baada ya tendo!
Mapenzi hayana uzoefu!hakuna shida niamini mimi! dereva mwenye uzoefu ni bora zaidi kuliko kwenda kuchagua veta!
niamini mimi Fundi SAMICO siyo mpaka uambiwe na mtumishi
Kila binadamu na tabia yake, mwenye kutulia na atatulia asiyetaka ataendelea. Mtu aliyetayari kuuza mwili wake, ameiweka rehani nafsi yake, hashindwi kuweka rehani ndoa na familia yake pindi yakitokea ndani ya ndoa. Utamu wa ngono sio suluhisho la ndoa tulivu.Nakubali bar na uko kwa wadada wanajiuza ni shida tu zimewafanya waamue kufanya kazi hizo nina ushaidi wa jamaa zangu dah maisha haya [emoji27] yaani wanawake wa hivyo wakipata waume wanakuwa wapole wastarabu wamama wazuri kabisa tena uwa wanashukuru sana maana hizo kazi awazipendi shida tu.
😂😂😂😂😂Hakika duniani kuna;
1. Watu.
2. Mawatu.
3. Vijitu.
4. Mijitu.
5. Majitu.
6. Miwatu.
Bongo sihami ng'o.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Naam mkuu! Leo naenda site mkuu kuna jamaa anachumba kimoja anataka wiring umeme fasta chapu chapu ahamie!Samico kama samico
Sumu haionjwi mwache ajaribu aone moto wakeaende ubungo riverside akakutane na wanawake wanywa smart gin
Thread closed, waache wajichanganye.Una uzoefu Gani wa kunywa pombe ?? Unawajua bar maid au unawasikia? Yaani mwanamke anaefanya KAZI za bar anakumbwa na changamoto kama zote za walevi 99% ni malaya hawana tofauti na wale wanaojiuza, kwanza mshahara hauwatoshi na wanaishi Kwa offer wanataka mambo mazuri kusuka nywele za gharama kuvaa vizuri na kula mishikaki chips nyama choma michemsho hivyo vyote mpaka avipate ni lazima awe na mabwana kama wote, Sasa ni VIGUMU kutulia ndani pindi akiolewa
Wakevi wote wanawake kwa wanaime wakishaeewa wanaonana kuwa wote waziuri subiri pombe iisheWazo zuri
Mawazo mbadala. Kwanza hata ukiachana na hao baamedi mwanamke anayetumia bar anaweza faa vizuri tu.
Hawa huwa na uwezo wa kueleza hisia zao wazi (hata kama ni kwa msaada wa pombe) na ndio maana wanaishi vizuri maana wanawasiliana kikamilifu. Na palipo na mawasiliano amani na mshikamano vipo.
Na aombe Mungu asimwambukize maradhi yawe kaswende,Ukimwi nkukichkua mwanamke huko uwe mvumilivu na tabia zake pia
Trust me siku mwisho mbinguni watajaa MASELA na maduu wa kudanga.Bora Malaya anaeenda kanisani maana anaweza kumuona Yesu.
Kuliko Malaya wa Bar ambaye Bado anaendelea kujiuza.
Malaya hafai bora mwanamke kahaba anajitambua.Bora Malaya anaeenda kanisani maana anaweza kumuona Yesu.
Kuliko Malaya wa Bar ambaye Bado anaendelea kujiuza.
litamkuta jamboSumu haionywi mwacha ajaribu aone moto wake