Ukituliza kichwa sawasawa, mke bora anapatikana Baa huko kwingine ni unafiki tu

Ukituliza kichwa sawasawa, mke bora anapatikana Baa huko kwingine ni unafiki tu

Ujue ukitaka kupata kilicho bora ebu waza kinyumenyume na walimwengu baadae utanishukuru!

Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari napataje kazi nyingine.

Lakini nikiwa bar nimegundua ukituliza kichwa sawasawa huku ndiko waliko wake wa kuoa kwa mtu ambaye yupo serious.

Bar hakai kisirani, Bar hakai mwanmke mzembe, bar hakai mwanamke legelege n.k

Wengi walioko bar Mungu kawapa kipawa flani kila mtu na chake! Nzuri kuliko yote wanajua mwanaume anapenda nini na hapendi nini.

Ubamedi ni kazi tu kama kazi nyingine, Kwa maoni yangu ukifanikiwa kuchagua huku furaha ni kubwa sana kuliko majuto.

Huko kwingine mnakozani wametulia ni feki feki nyingi.

Ukweli ni kwamba badilisheni mtizamo kidogo, Bar ukichagua na kupata umepata kwelikweli.

Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe.

Wakati wengi wakipanga mjini wewe nenda kajenge shamba, hivyo ndivyo ukitaka mke bora kamtafte bar!

Natoa ofa kwa kazi za ufundi bei yangu ni Tsh 95000/= tu kwa chumba cha kuishi, yaani ukitaka kujenga kila chumba 95000/=, ukitaka wiring kila chumba 95000/=, ukitaka tailz kila chumba 95000/= chochote unachokitaka nipigie bei ni 95000/ tu.

Napatikana kwa 0711756341 au instagram @samico_tanzania
KUANZIA LEO UKISIKIA MTU ANASEMA ANATAFTA MKE mwambie Fundi SAMICO kasema ukamtafte BAR
Aisee
Kama ndio hivi basi hata wale wanaouza pale kona bar wanaweza kuwa mke mwema

Kila mtu na mtazamo wake
 
Nakubali bar na uko kwa wadada wanajiuza ni shida tu zimewafanya waamue kufanya kazi hizo nina ushaidi wa jamaa zangu dah maisha haya [emoji27] yaani wanawake wa hivyo wakipata waume wanakuwa wapole wastarabu wamama wazuri kabisa tena uwa wanashukuru sana maana hizo kazi awazipendi shida tu.
kabisa umenena! ni mentality ya watu ila hawa ndiyo watu kabisa ...nikiwa mkubwa huenda nikatafta barmedi wa kuoa
 
Ni kweli tupu kwa asilimia 80% tena wawazi sana,hata tunavyopigwa bili bar wanajua hata ukichepuka na ukatumia condom anakushika hadi ufundi maiko wako unakutoka !Anakupeleka kukuogesha na neno honey kwa karibu anakutoa nguo zote.Anakumwagia maji kwenye moja yako ya mbele!kwa jinsi condom ilivyo na mafuta ,maji yanateleza hapo sasa fundi maiko unajulikana ulichepuka.kaoge haraka baada ya tendo!
Nakubali mkuu ni wamama wazuri sana nina ushuuda kabisa dah hadi raha kwakweli [emoji3059] wanafanya hizo kazi ni shida tu.
 
cha msingi kwenye kumpata mke anayefaa ni kumuomba Mungu. mke mwema hutoka kwa Bwana. Anaweza akatokea au akapatikana kokote, Mungu akitoa baraka zake, hakuna kinachoharibika.


Yesu ni Bwana&Mwokozi
 
cha msingi kwenye kumpata mke anayefaa ni kumuomba Mungu. mke mwema hutoka kwa Bwana. Anaweza akatokea au akapatikana kokote, Mungu akitoa baraka zake, hakuna kinachoharibika.


Yesu ni Bwana&Mwokozi
mke mwema ni yule anaekidhi haja na kuutuliza moyo wako!

anaweza kutoka kwa bwana lakini msiendane bro!
wakati yeye akisali wewe unataka mzigo hamtaelewana!
 
hakuna shida niamini mimi! dereva mwenye uzoefu ni bora zaidi kuliko kwenda kuchagua veta!
niamini mimi Fundi SAMICO siyo mpaka uambiwe na mtumishi
Kwenye ndoa miaka yote huwaga hawangaliagi, uzoefu na ndio maana tokea kuwekwa misingi ya uumbaji mpaka sasa bikra bado inathamani kubwa na kama ikikosekana basi low body counts inakuwa favorable.

Kijana ndoa sio kampuni, useme unahitaji watu wenye experience kuiendesha.Ila probability ya kupata mke mwema kati ya malaya ipo,ila ni ndogo sana approximately equal to zero.
 
Kwenye ndoa miaka yote huwaga hawangaliagi, uzoefu na ndio maana tokea kuwekwa misingi ya uumbaji mpaka sasa bikra bado inathamani kubwa na kama ikikosekana basi low body counts inakuwa favorable.

Kijana ndoa sio kampuni, useme unahitaji watu wenye experience kuiendesha.Ila probability ya kupata mke mwema kati ya malaya ipo,ila ni ndogo sana approximately equal to zero.
kumbuka ile injili inasema " HUYU KAHABA KANIKARIBISHA, AKANIFUTA NA MIGUU,
Experience inalet ukarimu, heshima na utulivu! pale temeke Devorce mia tatu kwa mwezi,
bikira zenyewe za mchongo utapata wapi bro!
kachukue mzigo bar muanze maisha mnipe na kazi niwajengee kajumba kazuri!
 
kumbuka ile injili inasema " HUYU KAHABA KANIKARIBISHA, AKANIFUTA NA MIGUU,
Experience inalet ukarimu, heshima na utulivu! pale temeke Devorce mia tatu kwa mwezi,
bikira zenyewe za mchongo utapata wapi bro!
kachukue mzigo bar muanze maisha mnipe na kazi niwajengee kajumba kazuri!
Umeelewa point yangu

."Ila probability ya kupata mke mwema kati ya malaya ipo,ila ni ndogo sana approximately equal to zero......."

Nilikwambia ipo ila ni ndogo haivuki hata 5%.

Rukaruka wewe ila ndoa ni tasisi ya kipekee sio kampuni useme inahitaji wafanyakazi wenye Experience kuiendesha.
 
Ujue ukitaka kupata kilicho bora ebu waza kinyumenyume na walimwengu baadae utanishukuru!

Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari napataje kazi nyingine.

Lakini nikiwa bar nimegundua ukituliza kichwa sawasawa huku ndiko waliko wake wa kuoa kwa mtu ambaye yupo serious.

Bar hakai kisirani, Bar hakai mwanmke mzembe, bar hakai mwanamke legelege n.k

Wengi walioko bar Mungu kawapa kipawa flani kila mtu na chake! Nzuri kuliko yote wanajua mwanaume anapenda nini na hapendi nini.

Ubamedi ni kazi tu kama kazi nyingine, Kwa maoni yangu ukifanikiwa kuchagua huku furaha ni kubwa sana kuliko majuto.

Huko kwingine mnakozani wametulia ni feki feki nyingi.

Ukweli ni kwamba badilisheni mtizamo kidogo, Bar ukichagua na kupata umepata kwelikweli.

Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe.

Wakati wengi wakipanga mjini wewe nenda kajenge shamba, hivyo ndivyo ukitaka mke bora kamtafte bar!

Natoa ofa kwa kazi za ufundi bei yangu ni Tsh 95000/= tu kwa chumba cha kuishi, yaani ukitaka kujenga kila chumba 95000/=, ukitaka wiring kila chumba 95000/=, ukitaka tailz kila chumba 95000/= chochote unachokitaka nipigie bei ni 95000/ tu.

Napatikana kwa 0711756341 au instagram @samico_tanzania
KUANZIA LEO UKISIKIA MTU ANASEMA ANATAFTA MKE mwambie Fundi SAMICO kasema ukamtafte BAR
Una uzoefu Gani wa kunywa pombe ?? Unawajua bar maid au unawasikia? Yaani mwanamke anaefanya KAZI za bar anakumbwa na changamoto kama zote za walevi 99% ni malaya hawana tofauti na wale wanaojiuza, kwanza mshahara hauwatoshi na wanaishi Kwa offer wanataka mambo mazuri kusuka nywele za gharama kuvaa vizuri na kula mishikaki chips nyama choma michemsho hivyo vyote mpaka avipate ni lazima awe na mabwana kama wote, Sasa ni VIGUMU kutulia ndani pindi akiolewa
 
Una uzoefu Gani wa kunywa pombe ?? Unawajua bar maid au unawasikia? Yaani mwanamke anaefanya KAZI za bar anakumbwa na changamoto kama zote za walevi 99% ni malaya hawana tofauti na wale wanaojiuza, kwanza mshahara hauwatoshi na wanaishi Kwa offer wanataka mambo mazuri kusuka nywele za gharama kuvaa vizuri na kula mishikaki chips nyama choma michemsho hivyo vyote mpaka avipate ni lazima awe na mabwana kama wote, Sasa ni VIGUMU kutulia ndani pindi akiolewa
mmh siyo kwa ubaya huo duuh
 
kuna mmoja naona ananipenda sana....nikiendaga hiyo bar ninapewa treatment yakwenda..

.ngoja nimuoe kama fundi samico amesema mimi ni nani mpaka nikatae na napata wapi ujeuri wa kupinga hilo😀
 
Ujue ukitaka kupata kilicho bora ebu waza kinyumenyume na walimwengu baadae utanishukuru!

Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari napataje kazi nyingine.

Lakini nikiwa bar nimegundua ukituliza kichwa sawasawa huku ndiko waliko wake wa kuoa kwa mtu ambaye yupo serious.

Bar hakai kisirani, Bar hakai mwanmke mzembe, bar hakai mwanamke legelege n.k

Wengi walioko bar Mungu kawapa kipawa flani kila mtu na chake! Nzuri kuliko yote wanajua mwanaume anapenda nini na hapendi nini.

Ubamedi ni kazi tu kama kazi nyingine, Kwa maoni yangu ukifanikiwa kuchagua huku furaha ni kubwa sana kuliko majuto.

Huko kwingine mnakozani wametulia ni feki feki nyingi.

Ukweli ni kwamba badilisheni mtizamo kidogo, Bar ukichagua na kupata umepata kwelikweli.

Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe.

Wakati wengi wakipanga mjini wewe nenda kajenge shamba, hivyo ndivyo ukitaka mke bora kamtafte bar!

Natoa ofa kwa kazi za ufundi bei yangu ni Tsh 95000/= tu kwa chumba cha kuishi, yaani ukitaka kujenga kila chumba 95000/=, ukitaka wiring kila chumba 95000/=, ukitaka tailz kila chumba 95000/= chochote unachokitaka nipigie bei ni 95000/ tu.

Napatikana kwa 0711756341 au instagram @samico_tanzania
KUANZIA LEO UKISIKIA MTU ANASEMA ANATAFTA MKE mwambie Fundi SAMICO kasema ukamtafte BAR
kwaiyo unatushaurije? maana naona umeanzisha mjadala hlf umeuacha hewani hujaufunga
 
Back
Top Bottom